Siku ya kumbukumbu ya Uhuru wa Tanganyika, hakuna mfungwa aliyesamehewa?

anamiaka 3 mbele ,atawasamehe tu baadhi yao,ondoeni shaka ,Ila gaidi hata kuwa miongoni mwao, ha ha ha ha !!,maana atakuwa bado mahabusu!!
 
kwa maana hiyo amevunja katiba wazi wazi sasa kwa kisingizio cha doctrine ya separation of power ambayo haikuongelewa kwenye katiba
 
Ama kweli hii ni awamu ya Sita! Nimejaribu kusubiri kwamba labda kuna tangazo litatoka baada ya sherehe lakini naona kimya kimetanda, kulikoni?

Kama yupo aliyesikia jambo hili ni vema akatushirikisha
Kwani lazima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…