DAKA MTUMBA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,288
- 801
Habari wana jf. Natamani kuwa na mtoto. Hivyo naomba msaada juu ya siku ya kushika mimba. Mzunguko wangu wa period naanza tarehe 9 na kumaliza tarehe 14.
Habari wana jf. Natamani kuwa na mtoto. Hivyo naomba msaada juu ya siku ya kushika mimba. Mzunguko wangu wa period naanza tarehe 9 na kumaliza tarehe 14.
Kwanza nijue umri...mwanaume ana age gan...pia kama mzunguko wako huwa unabadilika badilika...last mp uliingia tarehe ngap....hope I will come na jibu sahihi
Habari wana jf. Natamani kuwa na mtoto. Hivyo naomba msaada juu ya siku ya kushika mimba. Mzunguko wangu wa period naanza tarehe 9 na kumaliza tarehe 14.
Ikiwa mtu ana mzunguko wa cku 22 cku za hatari ni zipi na safe ni zipi? Msaada hapo
kuanzia tarehe tisa hesabu had siku ya kumi na nne yai linashuka kusubir shahawa yoyote ikatize na kutunga mimbaHabari wana jf. Natamani kuwa na mtoto. Hivyo naomba msaada juu ya siku ya kushika mimba. Mzunguko wangu wa period naanza tarehe 9 na kumaliza tarehe 14.
tarehe zinabadirika hesabu sikuNinavyoelewa mie, na kutokana na maelezo yako hapo juu, unapaswa ukutane na mwenzi wako kati ya tarehe 1 hadi 8. Ndani ya hizo siku, kiumbe kitapatikana tu
Asante! Nimeanza kumuoana mke wangu ana hali hiyo.Pia Zipo Dalili za Nje Ambazo unaweza Ukawa Unazihisi
1. Kupanda kwa Joto la Mwili mpaka 40
2. Kuwa na Hamu ya Tendo la Ndoa na Kuwa na hamu ya Kuwa na Mwanaume kwa Sex
3. Uke kuwa mlaini na ute ute tofauti na siku nyingine
Mtoto wa Kutegemewa sana Skku hiyo ni wa Kiume .. GOOD LUCK
Ukienda Hosp doc atakupa dawa utakunywa kwa muda wa miezi mi3 then siku zako zitakua sawa sawa. Ila kwa sasa huwezi shika mimba maana siku zako hazieleweki, nilishakua na tatizo hilo zamani.Jamani mm sielewi elewi mzunguko wangu km mwezi huu nimeingia 20 ujao naingia 18 auh 17 kiufupi nashuka auh auh naruka siku 2-3 kutoka 220-22-23 au kutoka 20 hadi 18-17 inakuwa nashuka auh napanda kwaiyo mm nitahisabu vipi kalenda yangu na kujua siku za kuweza kubeba mimba NAOMBA MSAADA WENU WADAU