DAKA MTUMBA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,288
- 801
Habari wana jf. Natamani kuwa na mtoto. Hivyo naomba msaada juu ya siku ya kushika mimba. Mzunguko wangu wa period naanza tarehe 9 na kumaliza tarehe 14.
J3 na Ijumaa ndio siku nzuri kushika Mimba dada!!!!