Siku ya kuzaliwa Rais wetu leo 27 Januari imeonesha idadi ya wanafiki katika siasa

Siku ya kuzaliwa Rais wetu leo 27 Januari imeonesha idadi ya wanafiki katika siasa

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
762
Reaction score
1,236
Naangalia mitandao na hasa Twitter imejaa salamu za kheri ya siku ya kuzaliwa rais Samia. Hadi Wakenya wanatuma salamu za hongera na pongezi. Najiuliza ni kwa nini kiasi hiki hadi ndani ya serikali? Wana CCM wanashindana kutoa salamu. Huu ni unafiki ili waonekane.

Karibuni ni hawa hawa hawakuleta salamu za kupongeza Mapinduzi ya Z'bar, au Uhuru wa Tanganyika mwezi Disemba, ghafla wanafurahia siku ya kuzaliwa rais.

Ni kweli kwamba siku ya kuzaliwa rais ni muhimu kuliko siku ya kuzaliwa Taifa la Tanganyika na Z'bar? Pamoja na kufundishwa civics lakini bado unafiki unapendwa kuliko sifa za kuiga na kujionesha. Tuache unafiki!
 
Mama anakubalika sana, mpaka Sugu na Rose Mayemba, Siasa sio uadui, na mama atapendwa hivyohivyo mpaka 2025 October.

Prof.P.L.O Lumumba naye kamwanga ngeli ya kutosha Kwa mama SSH. Nadhani kastuka kwamba Jiwe lilikuwa garasha na tofali la barafu.

Nadhani kwa jinsi mitandao ilivyolemewa na salamu za pongezi, Ellon Musk atakuwa ana kikao Cha dharura na watendaji wake.
 
Naangalia mitandao na hasa Twitter imejaa salamu za kheri ya siku ya kuzaliwa rais Samia. Hadi Wakenya wanatuma salamu za hongera na pongezi. Najiuliza ni kwa nini kiasi hiki hadi ndani ya serikali? Wana CCM wanashindana kutoa salamu. Huu ni unafiki ili waonekane.

Karibuni ni hawa hawa hawakuleta salamu za kupongeza Mapinduzi ya Z'bar, au Uhuru wa Tanganyika mwezi Disemba, ghafla wanafurahia siku ya kuzaliwa rais.

Ni kweli kwamba siku ya kuzaliwa rais ni muhimu kuliko siku ya kuzaliwa Taifa la Tanganyika na Z'bar? Pamoja na kufundishwa civics lakini bado unafiki unapendwa kuliko sifa za kuiga na kujionesha. Tuache unafiki!
Nchi hii
imekwishaharibika kwa 87%!

Tunaongozwa na wanafiki!
Tunaongozwa na wezi!
Tunaongozwa na wala Rushwa!
Tunaongozwa na watu wabinafsi wenye kutetea matumbo yao na familia zao!

Tunaongozwa na kundi baya sana la kimkakati,kuwahi kutokea katika historia ya nchi yetu!

Ndio maana Mungu anaelekea kutupa laana ya Ushoga hadi kufikia kufundishwa Mashuleni!

Ndio maana tunashuhudia Mauaji ya ajabu ajabu,tena baina ya wanafamilia,pamoja na wanandugu wa damu moja!

Jakaya kikwete !

Ni mtu hatari asiye na chembe ya Uzalendo!

Ni msaliti mbinafsi na kiongozi wa mifumo ya ubadhirifu muda wote!
Chukulia mfano huu!....
Alimsaliti Lowassa!
Mtu pekee aliyekuwa karibu naye katika hali zote!
Tangia wako vijana,tunaweza kusema .....katika dhiki na faraja !
Masika na kiangazi.....

Lakini alimtosa kwa maslahi yale binafsi,bila kutambua mchango wake Lowassa kwa kikwete hadi kumfikisha hapo alipo leo!

Lakini hivi sasa Kikwete na Lowassa!
Mahusiano yao ni sawa na ...Paka na Panya!

Vivyo hivyo kwa Magufuli,aliingia Ikulu,sio kwa ridhaa ya Kikwete,bali nguvu ya Mkapa(R.I.P) na Mwinyi....

Kikwete alipoona Magufuli anagusa madlahi yake,akalifufua upya kundi la wanamtandao....

Kilichofuatia kila mmoja alishuhudia!
Na hata sasa,Samia anaingia kichwa kichwa,na kukubali kutoa shea ya uongozi wa nchi kwa Msoga!

Muda ukiwadia atajua kwamba alikuwa hajui!

Hata yeye Kikwete,nafsi ilimsuta,hadi akawa anajitetea siku ya msiba kule Chato!

Sasa basi,wana CCM waliopo sasa hivi,kwa kujua chama kiko Captive na Genge moja!

Wanachoweza kukifanya ni huo unafiki wa 100% wakifuaitiwa na kundi kubwa la wanufaika wa mfumo uliopo!

Wakenya!

Lazima wamuombee afya njema Samia,kwa sababu amewaokoa na baa la njaa,Tanzania ndiyo nchi inayoilisha Kenya kwa 64%.

Huko Kenya kuanzia Garrisa,Tana River,Wajir,Baringo nk,wakenya wanataabika na baa la njaa shauri ya ukame wa muda mrefu.
Tegemeo lao ni chakula kutoka Tanzania [emoji1241].
 
Abdala Ulega ndio katoa mpya .
Yeye kaenda kutoa sadaka kwenye vituo vya yatima kusherehekea birthday ya SA 100 Nikawa najiuliza jamaa kabadilishwa kawa Mnikulu? Kupata taarifa Kwa jamaa bado ni Naibu Waziri Ila nikapata za chinichini kwamba anajipendekeza kwani amesikia hayupo kwenye listi. Wakati yeye mwenyewe Abdala Ulega tokea amezaliwa hajawahi kufanya hivyo kwenye birthday yake.
Kila mmoja ana kihoja chake simply kujipendekeza.
Kuna mjinga 1 (msanii) ndio katoa Kali ya mwaka ,yeye katoa zawadi Kwa saa 100 ya picha yake ya kuchora ( yake huyo msanii) eti saa 10o aitundike Ikulu kama zawadi ya birthday ya Saa 100 eti amemjibu saa 100 Kwa sababu na yeye saa 100 huko nyuma alimpatia zawadi ya picha yake.
Yaani full vituko
 
Nchi hii
imekwishaharibika kwa 87%!

Tunaongozwa na wanafiki!
Tunaongozwa na wezi!
Tunaongozwa na wala Rushwa!
Tunaongozwa na watu wabinafsi wenye kutetea matumbo yao na familia zao!

Tunaongozwa na kundi baya sana la kimkakati,kuwahi kutokea katika historia ya nchi yetu!

Ndio maana Mungu anaelekea kutupa laana ya Ushoga hadi kufikia kufundishwa Mashuleni!

Ndio maana tunashuhudia Mauaji ya ajabu ajabu,tena baina ya wanafamilia,pamoja na wanandugu wa damu moja!

Jakaya kikwete !

Ni mtu hatari asiye na chembe ya Uzalendo!

Ni msaliti mbinafsi na kiongozi wa mifumo ya ubadhirifu muda wote!
Chukulia mfano huu!....
Alimsaliti Lowassa!
Mtu pekee aliyekuwa karibu naye katika hali zote!
Tangia wako vijana,tunaweza kusema .....katika dhiki na faraja !
Masika na kiangazi.....

Lakini alimtosa kwa maslahi yale binafsi,bila kutambua mchango wake Lowassa kwa kikwete hadi kumfikisha hapo alipo leo!

Lakini hivi sasa Kikwete na Lowassa!
Mahusiano yao ni sawa na ...Paka na Panya!

Vivyo hivyo kwa Magufuli,aliingia Ikulu,sio kwa ridhaa ya Kikwete,bali nguvu ya Mkapa(R.I.P) na Mwinyi....

Kikwete alipoona Magufuli anagusa madlahi yake,akalifufua upya kundi la wanamtandao....

Kilichofuatia kila mmoja alishuhudia!
Na hata sasa,Samia anaingia kichwa kichwa,na kukubali kutoa shea ya uongozi wa nchi kwa Msoga!

Muda ukiwadia atajua kwamba alikuwa hajui!

Hata yeye Kikwete,nafsi ilimsuta,hadi akawa anajitetea siku ya msiba kule Chato!

Sasa basi,wana CCM waliopo sasa hivi,kwa kujua chama kiko Captive na Genge moja!

Wanachoweza kukifanya ni huo unafiki wa 100% wakifuaitiwa na kundi kubwa la wanufaika wa mfumo uliopo!

Wakenya!

Lazima wamuombee afya njema Samia,kwa sababu amewaokoa na baa la njaa,Tanzania ndiyo nchi inayoilisha Kenya kwa 64%.

Huko Kenya kuanzia Garrisa,Tana River,Wajir,Baringo nk,wakenya wanataabika na baa la njaa shauri ya ukame wa muda mrefu.
Tegemeo lao ni chakula kutoka Tanzania [emoji1241].

Umemaliza kila kitu, sina cha kuongezea nakuunga mkono 100%
 
Naangalia mitandao na hasa Twitter imejaa salamu za kheri ya siku ya kuzaliwa rais Samia. Hadi Wakenya wanatuma salamu za hongera na pongezi. Najiuliza ni kwa nini kiasi hiki hadi ndani ya serikali? Wana CCM wanashindana kutoa salamu. Huu ni unafiki ili waonekane.

Karibuni ni hawa hawa hawakuleta salamu za kupongeza Mapinduzi ya Z'bar, au Uhuru wa Tanganyika mwezi Disemba, ghafla wanafurahia siku ya kuzaliwa rais.

Ni kweli kwamba siku ya kuzaliwa rais ni muhimu kuliko siku ya kuzaliwa Taifa la Tanganyika na Z'bar? Pamoja na kufundishwa civics lakini bado unafiki unapendwa kuliko sifa za kuiga na kujionesha. Tuache unafiki!
Mimi nikituma salamu zangu huku nikiwa kwenye ID feki pia najipendekeza ?!! Ila wale wanaojulikana kwa majina yao halisi wengi wao ni kweli wanajipendekeza japo sio wote !!
 
Makonda alikuwa anapongezwa hadi na wasanii. Sasahv sidhani kama wanakumbuka birthday yake
Makonda mwenyewe alikuwa anamfungia kamba za viatu Riz One mpaka ikalipa akachaguliwa na Mzee kuwa DC !! Sometimes kujipendekeza huwa inalipa !!😂
 
Badala Ulega ndio katoa mpya .
Kaenda kutoa sadaka kwenye vituo vya yatima kusherehekea birthday ya SA 100. Wakati yeye mwenyewe kwenye birthday yake hafanyi hivyo.
Kila mmoja ana kihoja chake simply kujipendekeza.
Kuna mjinga 1 (msanii) ndio katoa Kali ya mwaka ,yeye katoa zawadi Kwa saa 100 ya picha yake ya kuchora ( yake huyo msanii) eti saa 10o aitundike Ikulu kama zawadi ya birthday ya Saa 100 eti amemjibu saa 100 Kwa sababu na yeye saa 100 huko nyuma alimpatia zawadi ya picha yake.
Yaani full vituko
Duh ! Hatari sana !!
 
Abdala Ulega ndio katoa mpya .
Yeye kaenda kutoa sadaka kwenye vituo vya yatima kusherehekea birthday ya SA 100 Nikawa na jamaa kabadilishwa kawa Mnikulu? Kupata taarifa Kwa jamaa bado ni Naibu Waziri Ila nikapata za chinichini kwamba anajipendekeza kwani amesikia hayupo kwenye listi. Wakati yeye mwenyewe Abdala Ulega tokea amezaliwa hajawahi kufanya hivyo kwenye birthday yake.
Kila mmoja ana kihoja chake simply kujipendekeza.
Kuna mjinga 1 (msanii) ndio katoa Kali ya mwaka ,yeye katoa zawadi Kwa saa 100 ya picha yake ya kuchora ( yake huyo msanii) eti saa 10o aitundike Ikulu kama zawadi ya birthday ya Saa 100 eti amemjibu saa 100 Kwa sababu na yeye saa 100 huko nyuma alimpatia zawadi ya picha yake.
Yaani full vituko
Unafiki umekithiri na unanuka
Wale wale waliotaka JPM aongoze nchi maisha sasa wanamsujudia Saa 100. Wamekuwa vinyonga. Wengine wanaota ndoto ya kuteuliwana wengine wana wasiwasi wa kutenguliwa WANAFIKI WAKUBWA/HAMUONI AIBU???
 
Umemaliza kila kitu, sina cha kuongezea nakuunga mkono 100%
Ni vema kuusema ukweli tunaujua kuliko kukaa nao!


Mkuu kikoozi

Nchi iko jatika kipindi kibaya sana cha unafiki,imefikia mahali watu wenye akili timamu,wasomi....eti wanaona sufa kujiita Ma-Chawa!

Time will Tell!
 
Sitashangaa siku moja,nikisikia chawa wa mama Samia,wakipendekeza kuwe Samia Day, Rais wa kwanza Mwanamke Tanzania na Jumuia ya Africa Mashariki.
Siku hiyo wakatumia kuorodhesha mageuzi na shughuli mbalimbali za maendeleo ya kiuchumi na kisiasa alizofanya katika kipindi chake Cha utawala.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Nchi hii
imekwishaharibika kwa 87%!

Tunaongozwa na wanafiki!
Tunaongozwa na wezi!
Tunaongozwa na wala Rushwa!
Tunaongozwa na watu wabinafsi wenye kutetea matumbo yao na familia zao!

Tunaongozwa na kundi baya sana la kimkakati,kuwahi kutokea katika historia ya nchi yetu!

Ndio maana Mungu anaelekea kutupa laana ya Ushoga hadi kufikia kufundishwa Mashuleni!

Ndio maana tunashuhudia Mauaji ya ajabu ajabu,tena baina ya wanafamilia,pamoja na wanandugu wa damu moja!

Jakaya kikwete !

Ni mtu hatari asiye na chembe ya Uzalendo!

Ni msaliti mbinafsi na kiongozi wa mifumo ya ubadhirifu muda wote!
Chukulia mfano huu!....
Alimsaliti Lowassa!
Mtu pekee aliyekuwa karibu naye katika hali zote!
Tangia wako vijana,tunaweza kusema .....katika dhiki na faraja !
Masika na kiangazi.....

Lakini alimtosa kwa maslahi yale binafsi,bila kutambua mchango wake Lowassa kwa kikwete hadi kumfikisha hapo alipo leo!

Lakini hivi sasa Kikwete na Lowassa!
Mahusiano yao ni sawa na ...Paka na Panya!

Vivyo hivyo kwa Magufuli,aliingia Ikulu,sio kwa ridhaa ya Kikwete,bali nguvu ya Mkapa(R.I.P) na Mwinyi....

Kikwete alipoona Magufuli anagusa madlahi yake,akalifufua upya kundi la wanamtandao....

Kilichofuatia kila mmoja alishuhudia!
Na hata sasa,Samia anaingia kichwa kichwa,na kukubali kutoa shea ya uongozi wa nchi kwa Msoga!

Muda ukiwadia atajua kwamba alikuwa hajui!

Hata yeye Kikwete,nafsi ilimsuta,hadi akawa anajitetea siku ya msiba kule Chato!

Sasa basi,wana CCM waliopo sasa hivi,kwa kujua chama kiko Captive na Genge moja!

Wanachoweza kukifanya ni huo unafiki wa 100% wakifuaitiwa na kundi kubwa la wanufaika wa mfumo uliopo!

Wakenya!

Lazima wamuombee afya njema Samia,kwa sababu amewaokoa na baa la njaa,Tanzania ndiyo nchi inayoilisha Kenya kwa 64%.

Huko Kenya kuanzia Garrisa,Tana River,Wajir,Baringo nk,wakenya wanataabika na baa la njaa shauri ya ukame wa muda mrefu.
Tegemeo lao ni chakula kutoka Tanzania [emoji1241].
Kikwete angekuwa mbaya hivyo kama unavyosema, angeshakufa siku nyingi
Asingemaliza hata miaka 10 ya Urais, dua za watu zingemuondoa
 
Ni vema kuusema ukweli tunaujua kuliko kukaa nao!


Mkuu kikoozi

Nchi iko jatika kipindi kibaya sana cha unafiki,imefikia mahali watu wenye akili timamu,wasomi....eti wanaona sufa kujiita Ma-Chawa!

Time will Tell!
Utaiombea mabaya sana nchi yetu ila hutafanikiwa
Nchi ipo mikono salama na watanzania wote wana furaha na umoja bila kujali itikadi zao isipokuwa nyie wafuasi wa Ibilisi
 
Back
Top Bottom