Hakuna mpinzani ni mimi tu!!Kama huna mpinzani karibu utapata pesa ndefu tu ila ningekuomba leo weka offer game ya simba kisa simba mwenyewe anagombania nafasi ya tatu so watu watakuja wengi ila tarehe 7 weka 500 ni hayo tu kwangu
Ni takribani siku moja sasa toka nifungue kibanda umiza maeneo ya hapa kijijini japo sio kijijini sana ambacho nilikipa jina la "VPN ARENA"
Nimeweka both dstv na azam bila kuchelewa nikarusha matangazo ya game ya jana ya yanga na biashara nakufanikiwa kupata wateja wanne(4) tu kwa kiasi cha jero jero.
Kwa wazoefu naombeni mawazo yenu kua kweli nitapata japo hela yakulipia kifurushi cha dstv ambacho ni 89000 compact plus na azam mwisho wa mwezi??? [emoji848][emoji848][emoji848]
Ondoa tamaa weka jero tu utapata watu kumbuka watu wengine hawajui kuna mpira kwakoHakuna mpinzani ni mimi tu!!
Simba na yanga niweke jero au buku mkuu!!
Mkono wa biashara unakujaje hapo mzee wakati hii mambo ndo ina siku mojaHauna mkono wa biashara, fanya kitu kingine, utashindwa! Biashara yaitaji mipango na uvumilivu, ni mapema sana!
Kama unataka biashara, tafuta namna nyingine ya kulipia hizo kwa miezi hata 3 then biashara itakaa sawa!
Biashara zote zinalipa, issue ni how long can you wait for that ili ikulipe? If u can wait utaifaidi.
We unaonaje kwani?Ni takribani siku moja sasa toka nifungue kibanda umiza maeneo ya hapa kijijini japo sio kijijini sana ambacho nilikipa jina la "VPN ARENA"
Nimeweka both dstv na azam bila kuchelewa nikarusha matangazo ya game ya jana ya yanga na biashara nakufanikiwa kupata wateja wanne(4) tu kwa kiasi cha jero jero.
Kwa wazoefu naombeni mawazo yenu kua kweli nitapata japo hela yakulipia kifurushi cha dstv ambacho ni 89000 compact plus na azam mwisho wa mwezi??? [emoji848][emoji848][emoji848]
Hakuna mpinzani ni mimi tu!!
Simba na yanga niweke jero au buku mkuu!!
Mimi nina kibanda umiza ilala mchikichini, nina azam na dstv, kwa uzoefu wangu inapocheza simba au yanga ndio ninapoingiza hela kwa mechi around 15 - 20k, azam mara chache inapata watazamaji so ninachifanya kwenye mechi zingine mtu anaweza kununua maji/soda akaangalia mpira nimeweka na ile mashine ya kamari kwa hiyo wengine watacheza pale.Ni takribani siku moja sasa toka nifungue kibanda umiza maeneo ya hapa kijijini japo sio kijijini sana ambacho nilikipa jina la "VPN ARENA"
Nimeweka both dstv na azam bila kuchelewa nikarusha matangazo ya game ya jana ya yanga na biashara nakufanikiwa kupata wateja wanne(4) tu kwa kiasi cha jero jero.
Kwa wazoefu naombeni mawazo yenu kua kweli nitapata japo hela yakulipia kifurushi cha dstv ambacho ni 89000 compact plus na azam mwisho wa mwezi??? [emoji848][emoji848][emoji848]
Hapo sasa..angekua anajua kujiongeza na zile raha na mzuka za main event kama wrestlemania..survivor series nayo inakuja,zile bifu za akina Sasha na Bayley,huku viper na mctyre uwiii.Hawana ubunifu.Kwa sababu vibanda umiza huwa vinaonyesha tu mpira na yeye anataka aonyeshe tu mpira!