Siku ya kwanza baada ya kufungua kibanda umiza

Siku ya kwanza baada ya kufungua kibanda umiza

Siku moja tu unataka ujaze kibanda? Biashara ni uvumilivu,utakula hasara,utaangula ila unatakiwa ukaze bila kukata tamaa,usitegemee faida ya haraka,tengeneza kwanza Brand kisha biashara itafuata tu,kua mbunifu,weka bango kisha kila siku unaweka ujumbe wakufurahisa baada yakutangaza game za siku hiyo.

Good luck brother.
Shukrani san mzee naamini ni swala la mda tu
 
Kwa uzoefu wangu wa kibanda umiza mwaka wa pili sasa, nilichogundua kuna soko tofauti kwa michezo tofauti, mfano kuna mtu ambaye ni mshabiki wa timu kama simba na yanga hivyo huwezi kumkosa kibandani zikicheza timu zake, kuna wengine ni machizi wa mpira wa bongo yani yeye hata icheze gwambina na mwadui lazima aje ila watu hawa sio wengi sana, kuna wengine wanapenda mipira ya ulaya ila wanaangalia timu zao tu na kuna kundi lingine wanaangaliza mechi zote iwe ulaya au bongo, hiyo michezo uliyotaja ina mashabiki wake ila kiasi cha biashara utayoiyanya hailingani na kuonesha mpira ukichangia michezo mingi ipo weekends, kibanda umiza unauza huduma hivyo inategemea na jamii inayokuzunguka, kuna mitaa wanaonesha hadi nba inayopigwa saa 11 alfajiri kwasababu soko lao linaruhusu, ushauri wangu aanze taratibu baada ya miezi miwili atapata wale watazamaji wasiopenda kelele mabanda mengine, ni muhimu sana kujua kwann wanakuja kuangalia kwako, mm niko uswahilini kabisa wateja wangu nimewateka kwa huduma zingine tofauti ya mpira wanaoufuata.
Hapo sasa..angekua anajua kujiongeza na zile raha na mzuka za main event kama wrestlemania..survivor series nayo inakuja,zile bifu za akina Sasha na Bayley,huku viper na mctyre uwiii

Movie kali za akina Jackie chan,Jason statham,unakuta channel ratiba inaonesha Leo ni fast&furious zote mfululizo halafu ni weekend...
 
Hauna mkono wa biashara, fanya kitu kingine, utashindwa! Biashara yaitaji mipango na uvumilivu, ni mapema sana!

Kama unataka biashara, tafuta namna nyingine ya kulipia hizo kwa miezi hata 3 then biashara itakaa sawa!

Biashara zote zinalipa, issue ni how long can you wait for that ili ikulipe? If u can wait utaifaidi.
Acha roho mbaya mkuu!
 
dstv ni pasua kichwa achana nao tafuta mbinu nyingine ya kuonyesha ligi za ulaya kwa gharama nafuu
 
Ushauri games zote za bongo onyesha bureeeee... maana ndo vibanda umiza vingi vinafanya...
 
Mkuu kwanza hongera kwa kujaribu ila jua biashara ina chanagamoto sana ikiwa changa cha msingi kama unaona watu hawavutiki jitahidi uweke na vinywaji hapo kisha weka bure kuangalia hata gemu mbili ili pafahamike yote hayo yaambatane na uboreshaji wa huduma.
Ni takribani siku moja sasa toka nifungue kibanda umiza maeneo ya hapa kijijini japo sio kijijini sana ambacho nilikipa jina la "VPN ARENA"

Nimeweka both dstv na azam bila kuchelewa nikarusha matangazo ya game ya jana ya yanga na biashara nakufanikiwa kupata wateja wanne(4) tu kwa kiasi cha jero jero.

Kwa wazoefu naombeni mawazo yenu kua kweli nitapata japo hela yakulipia kifurushi cha dstv ambacho ni 89000 compact plus na azam mwisho wa mwezi? [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Hii kweli kule mbagara rang tatu kuna ukumbi unaitwa emirates ni wa kawaida tu lakini watu huenda pale kwa sababu ya ubishi kuna jamaa anaitwa Salum mshabiki wa Arsenal na Nando mahabiki wa Liverpool hawa watu mwenye ukumbi hawadai hela hasa huyo Salum maana ndo wanaleta amsha amsha sana wakiwepo hao ukumbi wote unakua kelele mwanzo mwisho....

Yule mmiliki wa huo ukumbi kwa sasa ana duka kubwa sana la jumla la kuuza bidhaa mbalimbali za vyakula na pia ana Costa kama sikosei 2 kwa biasharahiyo.
Pia jitahidi kuwafahamu mashabiki wa timu kubwa wenye ubishi na maneno nengi na kuwaweka karibu ikiwezekana kuwapa ofa ya kutazama game bure hapo kwako itakuongezea wateja wengi sana watu wengi huwa wanapenda majibizano wakati mechi zinaendelea na baada ya mechi kuisha.
 
KUNA SEHEMU NILIKUTA VIJANA WA CHUO WAMENUNUA SMART TV KWAAJILI YA KUONESHA MPIRA KWENYE KIBANDA UMIZA.
ILI KUEPUKA GHARAMA ZA DSTV WAO WANACHOKIFANYA NI KUTAFUTA CHANEL INAYOONYESHA MPIRA MTANDAONI KUPITIA SIMU KISHA WANAWASHA BLUETOOTH YA SIMU NA TV HIVYO MPIRA UNAONEKANA VIZURI TU KWENYE TV.
HAPO HATA MVUA IKINYESHA ZILE KERO ZA DISH KUSCRATCH HAZIPO LABDA MTANDAO TU ULETE SHIDA.
 
Ni takribani siku moja sasa toka nifungue kibanda umiza maeneo ya hapa kijijini japo sio kijijini sana ambacho nilikipa jina la "VPN ARENA"

Nimeweka both dstv na azam bila kuchelewa nikarusha matangazo ya game ya jana ya yanga na biashara nakufanikiwa kupata wateja wanne(4) tu kwa kiasi cha jero jero.

Kwa wazoefu naombeni mawazo yenu kua kweli nitapata japo hela yakulipia kifurushi cha dstv ambacho ni 89000 compact plus na azam mwisho wa mwezi? [emoji848][emoji848][emoji848]
Nakupongeza kwa kuthubutu, cha msingi ni uvumilivu baadae mambo yatakuwa sawa tu
 
KUNA SEHEMU NILIKUTA VIJANA WA CHUO WAMENUNUA SMART TV KWAAJILI YA KUONESHA MPIRA KWENYE KIBANDA UMIZA.
ILI KUEPUKA GHARAMA ZA DSTV WAO WANACHOKIFANYA NI KUTAFUTA CHANEL INAYOONYESHA MPIRA MTANDAONI KUPITIA SIMU KISHA WANAWASHA BLUETOOTH YA SIMU NA TV HIVYO MPIRA UNAONEKANA VIZURI TU KWENYE TV.
HAPO HATA MVUA IKINYESHA ZILE KERO ZA DISH KUSCRATCH HAZIPO LABDA MTANDAO TU ULETE SHIDA.
Hii teknik Ni nzuri
 
KUNA SEHEMU NILIKUTA VIJANA WA CHUO WAMENUNUA SMART TV KWAAJILI YA KUONESHA MPIRA KWENYE KIBANDA UMIZA.
ILI KUEPUKA GHARAMA ZA DSTV WAO WANACHOKIFANYA NI KUTAFUTA CHANEL INAYOONYESHA MPIRA MTANDAONI KUPITIA SIMU KISHA WANAWASHA BLUETOOTH YA SIMU NA TV HIVYO MPIRA UNAONEKANA VIZURI TU KWENYE TV.
HAPO HATA MVUA IKINYESHA ZILE KERO ZA DISH KUSCRATCH HAZIPO LABDA MTANDAO TU ULETE SHIDA.
Shida ya Bongo network mkuu
Binafsi huu mwaka wa 2 sijaingia kibanda umiza huwa naangalia mechi kupitia simu ila siku zingineNetwork changamoto
 
Tupe mrejesho baada ya leo kutoa offer, mechi ya simba ..
 
😁😂😂😂😂
Sio kwamba nakucheka lkn mkuu
Mi sikuchek
 
Back
Top Bottom