Tatizo network huku mwisho kabisa 3GKUNA SEHEMU NILIKUTA VIJANA WA CHUO WAMENUNUA SMART TV KWAAJILI YA KUONESHA MPIRA KWENYE KIBANDA UMIZA.
ILI KUEPUKA GHARAMA ZA DSTV WAO WANACHOKIFANYA NI KUTAFUTA CHANEL INAYOONYESHA MPIRA MTANDAONI KUPITIA SIMU KISHA WANAWASHA BLUETOOTH YA SIMU NA TV HIVYO MPIRA UNAONEKANA VIZURI TU KWENYE TV.
HAPO HATA MVUA IKINYESHA ZILE KERO ZA DISH KUSCRATCH HAZIPO LABDA MTANDAO TU ULETE SHIDA.
Safi.Leo nimetoa ofa kama wadau mlivyonitonya ambapo kimsingi walikuja watu 21 nikatumia nafasi kuwaambia jmosi ni jero jero na saivi niko na wana hapa kama kumi tunacheki uefa free
Kaza buti mkuu siku zote uvumilivu Ni kitu mhim Sana,kwa hiyo wewe amini tu kadiri siku zinavyoenda na ndio mambo yatazidi kuwa mazuri na ujitahidi kuboresha mazingira...Leo nimetoa ofa kama wadau mlivyonitonya ambapo kimsingi walikuja watu 21 nikatumia nafasi kuwaambia jmosi ni jero jero na saivi niko na wana hapa kama kumi tunacheki uefa free
Hauna mkono wa biashara!!!Hauna mkono wa biashara, fanya kitu kingine, utashindwa! Biashara yaitaji mipango na uvumilivu, ni mapema sana!
Kama unataka biashara, tafuta namna nyingine ya kulipia hizo kwa miezi hata 3 then biashara itakaa sawa!
Biashara zote zinalipa, issue ni how long can you wait for that ili ikulipe? If u can wait utaifaidi.
Hahah... Ngoja tusubiri elimu mkuu, inawezekana kuna maana, ambayo hatujui.Huyo jamaa ana stress[emoji23][emoji23]
Watu wanapenda sana ukumbi uwe na amsha amsha pamoja na mashabiki wabishiiHii kweli kule mbagara rang tatu kuna ukumbi unaitwa emirates ni wa kawaida tu lakini watu huenda pale kwa sababu ya ubishi kuna jamaa anaitwa Salum mshabiki wa Arsenal na Nando mahabiki wa Liverpool hawa watu mwenye ukumbi hawadai hela hasa huyo Salum maana ndo wanaleta amsha amsha sana wakiwepo hao ukumbi wote unakua kelele mwanzo mwisho....
Yule mmiliki wa huo ukumbi kwa sasa ana duka kubwa sana la jumla la kuuza bidhaa mbalimbali za vyakula na pia ana Costa kama sikosei 2 kwa biasharahiyo.
Nataka nitumie jmos kama kipimo hio game y watani wa jadiMleta mada umeanza vizuri biashara yako cha msingi ni kukomaa ili watu wapazoee mimi nilianza hii biashara mwaka 2013 maeneo ya Chanika pasipokuwa na umeme nilikuwa natumia Generator now mimi ndo top kama leo mechi ya Simba vs Kagera Sugar nimefunga na kiasi cha 48,000= bado Uefa cha msingi ni kukomaa
Mechi ya jumamosi itakupotosha sio kipimo sahihiNataka nitumie jmos kama kipimo hio game y watani wa jadi
weka jero kila mechiHakuna mpinzani ni mimi tu!!
Simba na yanga niweke jero au buku mkuu!!
OkIla ndio mechi ambayo itanionyesha mashabiki ambao wapi na ndo itafanya kibanda kijulikane zaidi