Siku ya kwanza baada ya kufungua kibanda umiza

Njoo inbox mzee 0712043374 tupeane uzoefu
 
Kuwe na hewa safi watu wanakwapa plus mdomo kunuka duh
 
Umenichekesha sana ulivyotaja watu wabishi na maneno mengi,hao kila mtaa huwa hawakosekani[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hakuna mpinzani ni mimi tu!!
Simba na yanga niweke jero au buku mkuu!!
Jero, ukitaka ku penetrate soko,, shusha bei, ongeza thamani,,
Mfano weka kijiwe cha kahawa upenuni, weka banda uuze sigara, pombe za kupima, etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…