Siku ya Kwanza Gym? Fanya hivi...

Aisee wengi sana tumeanza kwenye udongo hahaha umenikumbusha kitambo.

Hiyo ishu nishaishuhudia, mara nyingi hua inatokana na upande mmoja kuwa na uwezo wa kupokea workout kuzidi mwingine yaani mkono mmoja unakua na nguvu kushinda mwingine.
Mfano mtu wa hivi akiwa anajivuta, anapiga benchi au kufanya zoezi la biceps ndiyo hujiona kabisa upande upi nguvu ipo.

Suluhisho ni kubalansi nguvu, push ups zinasaidia na uzito utumike ambao ni rafiki.
Baada ya muda utakaa sawa tu.

Nakutakia kila la kheri mkuu.
 
Shukrani kwa ushauri wako,ila hii imepelekea mpaka bega moja kugain muscle zaidi ya jingine.Kwa kifupi nitajaribu tena nione kama nitapata mabadiliko chanya.
 
Shukrani kwa ushauri wako,ila hii imepelekea mpaka bega moja kugain muscle zaidi ya jingine.Kwa kifupi nitajaribu tena nione kama nitapata mabadiliko chanya.
Yea hata kesi niliyoishuhudia iko hivyo. Na hua inaonekana kwa ukaribu mtu akitoka kufanya barbell biceps curl kwa uzito mkubwa.

Nilichokwambia ni suluhisho.
 
Tafadhali usiniquote na kuniuliza juu ya hii mada
 
Natamani huu Uzi niwage nauona mpk pale ntakapoweza ku kalili baadhi ya mambo ninayoyataka hapa....
 
Tangu nisome huu uzi nimeanzisha gym yangu hapahapa ndani kupitia hayo mazoezi bila vifaa vyovyote naona yananisaidia sana shukrani kwako mkuu
 
 
Kila aina ya squat inaweza kufanywa na mdada, tofauti itaenda kua kwenye uzito atakaoutumia (kama ni gym) na idadi ya reps (atakavyochuchumaa na kuinuka).
 
Kila aina ya squat inaweza kufanywa na mdada, tofauti itaenda kua kwenye uzito atakaoutumia (kama ni gym) na idadi ya reps (atakavyochuchumaa na kuinuka).
Naongelea mazoezi ya nyumbani, VIP ile ya kusimama na kutengeneneza V under Ku miguu gisigino vimebanana?

Je matokeo yake ni tofauti na ya kutanua miguu? Naomba Maelezo kuhusu hizo mbili yaan ya kutanua miguu na ya kutengeneza V
 
Naongelea mazoezi ya nyumbani, VIP ile ya kusimama na kutengeneneza V under Ku miguu gisigino vimebanana?

Je matokeo yake ni tofauti na ya kutanua miguu? Naomba Maelezo kuhusu hizo mbili yaan ya kutanua miguu na ya kutengeneza V
Kuna uzi niliandika unaitwa 'Jinsi ya kutengeneza mwili wa chini bila kuingia gym' ucheki huo una guide ya mazoezi ambayo utaweza kufanya nyumbani.
Uliponiquote mwanzo huo uzi ulikuepo.

Kama nimeelewa sawia hilo zoezi la V shuleni hua tunagewa kama adhabu, siwezi kurecommend kitu ambacho sijui faida yake, hua narecommend kitu ambacho ninakifanya au nishaona watu wakifanya. Hilo zoezi la V sijawahi kuona likifanywa kwa lengo la kujenga mwili, siwezi kulitolea insight.

Ila jua kua, kuumia wakati wa mazoezi na ukimaliza zoezi haimaanishi kua zoezi ndiyo linaingia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…