kwayu headmaster wangu azaboy namkumbuka sana huyu mzee alikua kama baba mzazi shuleniNilipoingia form five pale ilboru maisha yalikua POA Sana sikuhisi utafauti Sana kwa sababu nilikua mpenzi Sana maharagwe niliona poa tu, sema hata ivo msosi was shuleni ulikua POA tu maana mchana Kama kawa ugali haragwe usiku Kila siku ubwabwa na haragwe , week end kitu Cha pilau , wazee wa kitei wanakumbuka Sana christopher cirilo , pongezi ziende kwa mzee kwayu best headmaster to me kwa kwel.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]watu mna matukio aiseeNiliingia boarding form five:
Maisha ya boarding nilishayajua coz nikiwa o level weekend naenda kulala mashuleni kwa washkaji zangu!! So sikuwa na ugeni na misosi wala tabia.
Nilipokelewa na watemi wa form three, sura yangu tu wakajua huyu mwenyewe! Ilibidi wawe wananilia timing [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2]
Nilianza na intro! Usiku mnene nimelala kitandani ndoo na mazaga mengine nimeweka pembeni ya kitanda! Madogo wanatest zari kuniibia wanavizia wakijua nimelala, wanashtuka nawaambia oyaaah! Rudisha ndoo!
Kesho yake ikawa story shule nzima jamaa halali! Ukigusa ndoo yake au chochote anakutoa mbio! Ikawa ni mchezo na hakuna siku nilifeli, walichemka!
Wakanibananisha bwenini siku moja usiku sina hili wala lile! Nashtuka madogo kama kumi hivi wa form three na two wamenizunguka wanadai wananipa kipigo najitia msela sana hata kama nipo five!!
Niliruka ghafla toka kitandani nikatua kwenye mabega ya yule mbabe zaidi! Wakiwa wamehamaki mbabe wao kaanguka chini nikawahi switch ya taa nikazima kukawa giza totoro!! Nilitoa mkanda niliwadunda isivyo kawaida kuniona hawanioni wanashtukia vichapo mbaya zaidi mlango walifunga wenyewe kufungua hawawezi!! Walikula kichapo heavy sana!
Baada ya vilio kuzidi mle bwenini walinzi wakaja kuvunja mlango! Kuna niliokuwa nimewapasua na bakoli ya mkanda ikabidi wakatibiwe! Kesho yake waalimu hawanielewi na hawaamini kichapo nilichotoa, nikaambiwa rudi home kalete mzazi!!
Nilipoondoka sikurudi tena, na shule nikajihamisha mwenyewe kwenda shule yenye hostel badala ya boarding, dingi alikuja kujua baadae sana shule ninayosoma tena mkoa mwingine! akanyoosha mikono!!
VyemaJioni tunacheck mpira kengele ya msosi ikalia jamaa akaropoka tutakua ikifika half time basi mimi nikajua imeeleweka half time kufika kwenda DH msosi umeisha muda mrefu mwana mmoja ikabidi anibakizie asee siku fanikiwa kumfahamu yule jamaa sababu ilikua usiku,tangu siku ile huwa nina saidie MTU yeyote ambaye ninao uwezo pasipo kuangalia sura au mahusiano
Ok hiki ninachoandika ni off topic.
Kuna jamaa aliripoti shule, bishoo si mchezo. Kuna jamaa akawa anamuonea onea tu akimkuta anakula anachukua chakula, anachukua madaftari yake. Halafu anamwambia kama unaweza si upigane? Ishu ilienda kama mwezi.
Maji yakikata kuna kama kijito cha maji ndiyo hua tunayafuata, basi yule bishoo akavaa traki raba na fulana akamkuta mshkaji yupo na sisi akamwambia twende mtoni. Jamaa akajibu kwa dharau "Unataka nikakuf.ire?" mshkaji akajibu hapana nataka tukapigane, Ila tuwe wawili tu atakayerudi shule hapa ndiyo mshindi, jamaa akakubali wakaenda.
Dakika 10 nyingi tunamuona bishoo anarudi. Akatuambia kamchukueni jamaa, tumefika kule yule jamaa kila unapomgusa analia akafuatwa na gari la shule gari lenyewe wipers hazifanyi kazi na ukungu umeshakuja ikabidi mmoja akae kwenye boneti awe anafuta futa na mwendo uwe wa kobe.
Baada ya kupona akatuambia "Yaani sijaambulia hata ngumi moja, huyo jamaa hafai" kumbe yule bishoo ni mshindi wa Judo ngazi ya mkoa huko mkoani kwao. Halafu ikatokea wakawa marafiki vibaya mno.
Mwambie la profeseri akusaidie. Tafuta na kiwanja haraka. Mwambie G. akutafutie.December 1.
Nataka nianze maandalizi ila kuanzia kesho kutwa ikiwezekana naenda Makao makuu nikajiandikishe mkataba wa Practise wizarani
Walala mnaiba mbuziii???[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]siku ya kwanza nimefika shule kesho yake ikawa shamba(nilihamia kutoka day nikapelekwa bording) nimefika shamba nimepangiwa mistari nane ya mahindi ya kupalilia tangu nizaliwe sijawai kulima nililia hatari akaja dada mmoja wa mwanza akaniambia atanisaidia kulima alilima fasta kufumba na kufumbua amemaliza nikamnunulia mkate akanywa na chai enzi zile mikate ya skoz,mpaka namaliza pale sikuwai kulima wala kupalilia mimi naenda shamba kupiga story natafuta wale wa kijijini nampa mkate analima kipande changu chote.
dada angu aliyenilea alikua anafanya kazi supermarket tranka langu lilika na vilonzo hatari mambo matamumatamu na kila mwisho wa mwezi anakuja kunitembelea.
kuku ,bata wa walimu tushaiba sana tu usiku tunaenda jikoni tunachemsha tunakunywa supu na nyama tulikua watundu sana ,kuna siku sasa tuliiba mbuzi wa mwalimu dhaaa sitasahau tulimchinja wenyewe,chuna wenyewe,tulikula usiku kucha ile siku,daaah shule ilikua raha sana nilikua kibonge nilirudi nyumbani mwembamba ugali ,uji ,vilinishinda kabisa nikawa nashindia mkate na juice.
changamoto za maisha natamani nirudi vile,nilikua sina stress yyt ile ninachowaza nikadibue maji ya nani nikaoge ,maisha yalikua mazuri siwazi yyt yule sina anayenitegemea daaah,sahizi nikiwaza ada ya shule january natamani nigeuke malaika nipae mbali na majukumu .
Mkuu kitemango kipindi hicho alikua ameshondoka mkuu , mwaka 2006 mkuu alikuepo Andrew kwayu , kwayu alikua POA Sana mkuu
Vipi huyo Mbuzi mliyemuiba hamkushtukiwa?siku ya kwanza nimefika shule kesho yake ikawa shamba(nilihamia kutoka day nikapelekwa bording) nimefika shamba nimepangiwa mistari nane ya mahindi ya kupalilia tangu nizaliwe sijawai kulima nililia hatari akaja dada mmoja wa mwanza akaniambia atanisaidia kulima alilima fasta kufumba na kufumbua amemaliza nikamnunulia mkate akanywa na chai enzi zile mikate ya skoz,mpaka namaliza pale sikuwai kulima wala kupalilia mimi naenda shamba kupiga story natafuta wale wa kijijini nampa mkate analima kipande changu chote.
dada angu aliyenilea alikua anafanya kazi supermarket tranka langu lilika na vilonzo hatari mambo matamumatamu na kila mwisho wa mwezi anakuja kunitembelea.
kuku ,bata wa walimu tushaiba sana tu usiku tunaenda jikoni tunachemsha tunakunywa supu na nyama tulikua watundu sana ,kuna siku sasa tuliiba mbuzi wa mwalimu dhaaa sitasahau tulimchinja wenyewe,chuna wenyewe,tulikula usiku kucha ile siku,daaah shule ilikua raha sana nilikua kibonge nilirudi nyumbani mwembamba ugali ,uji ,vilinishinda kabisa nikawa nashindia mkate na juice.
changamoto za maisha natamani nirudi vile,nilikua sina stress yyt ile ninachowaza nikadibue maji ya nani nikaoge ,maisha yalikua mazuri siwazi yyt yule sina anayenitegemea daaah,sahizi nikiwaza ada ya shule january natamani nigeuke malaika nipae mbali na majukumu .
Mkuu mbwa kumbe ulifeli? Lakin kufeli ni asili yenu watu wa mtwarasio kila mtu ni masikini kama wewe mbwa we
Hii siyo ya serikali, kafungueni Uzi wenu na wenzako mlotafuta nao credit kabla ya kuanza advance... Huu Uzi ni kwa ajil ya watu tuliofaulu na kusoma shule za serikaliKilicho nikelaga shule za bweni ni kunguni tu baridi lilichangia Sana watu kua wachafu na kupelekea watu kua na mifugo mingi ( kunguni ) usiku ulali vizuri kabisa , mbeya moja iyo mbalizi sec
Acha tuu nilikuwa mjinga flani hivi yani baaada ya kuanza kwenda class wajamaa wa form three wao hawafui mashat kazi yao ni kuchukua kwenye kamba hata kama lina jina lako. Halafu wanarudisha likiwa chafu....Hahahahaaaaaa!! Kaka shemeji kama nakuona ulivyolalia chaga.
Acha tuu nilikuwa mjinga flani hivi yani baaada ya kuanza kwenda class wajamaa wa form three wao hawafui mashat kazi yao ni kuchukua kwenye kamba hata kama lina jina lako. Halafu wanarudisha likiwa chafu....
Ukifua nguo lazima ukae mita kadhaa pale uzilinde zikauke zisiibiwe. Yan kama vile ule mwaka 2o15 watu walivyokuwa wanalinda kura
Baada ya kujanjaruka sasa dada shemeji.....
Nilifika Jumamosi jioni nikakuta ni siku ya wali maharage so nikala coz angalau masosi ulikuwa mzuri, kesho yake asubuhi nikapewa uji kwenye kikombe lakini nikashindwa kunywa nikamwaga.
Nilipotoka home nilipewa nyama za kukaanga ndio zinanipa kiburi, zilipoisha ikabidi nianze tu kula maharage sema shule haikuwa na uzio na wali nyama centre walikuwa wanauza buku tu so nikawa natoroka naenda centre kula jamaa wakanibadilisha jina wakaanza kuniita Bourgeoisie (Bujwazii).
Niliwahi kupewa adhabu ya kuchimba visiki kwa kumuita Head Boy Kibaraka wa Walimu.
Nilienda shule na simu na DVD Player zile portable basi raia wengi wakawa rafiki zangu.
Kuna siku jamaa kakuta nanyoosha nguo Jumapili akashangaa hii ndio Pasi ya Umeme? Nikamjibu ndio basi akaomba aishike ajaribu kunyoosha.
Nakumbuka pia siku moja tunacheza inter class madogo wa O Level wakampiga jamaa wa Form Five, usiku tukakaa kikao kwamba haiwezekani waaibishe mwenzetu basi tukapanga mipango ya kupiga O Level kesho yake, tumeamka asubuhi tukakuta Polisi wanafanya kwata nje ya bweni letu hadi tunaenda assemble Polisi wapo tu, tukawaambia sisi hatufanyi fujo tumewachia walimu. Polisi wakaondoka ( Ni mwendo wa dakika 2 tu kati ya Polisi Post na Shule). Kile kitendo cha kuondoka Polisi tukaanzisha timbwili tukachapa O level wote coz maraia tulikuwa tumeficha fimbo kuanzia kiunoni kwenda miguu na wenye mikanda walitumia mikanda. Tulichapa hadi Mwalimu wa Michezo, Second Master akakimbilia kwake. Mara Polisi haoooo na Defender lao piga sana mabomu lakini tulikuwa tushafahamishana kila mtu awe na chupa ya maji.
Sasa kituko kikatokea kwenye kukimbia aise, nilikuwa miongoni mwa watu wa mwanzo mwanzo tunakimbia kwenye matuta, dah nikapoteza steps kwenye kuruka matuta nikaanguka basi raia wote wa nyuma wakanikanyaga nikajikuta sina nguvu na Polisi wanakuja, pona pona yangu ikawa ni shimo la mchanga nililoliona mita chache kutoka nilipoanguka nikaingia humo na kukaa hadi mchana kila nikatoka kwenda kutafuta wenzangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Tumerudi shule jioni tunakuta waliokamatwa wamekula vitasa balaa. Baada ya timbwili hilo angalau tulianza kuheshimia na O level.
Wote walikutana washamba. Saaa boarding mbovu unaanzaje kua bishoo? Usela mbuzi wa kunyang'anya chakula si maisha ya hunters and gatherers hayo?
Acha tuu. Kazi kuiba sukari na yale maziwa ya unga. Yaaan sukari ilikuwa bizaa admuu saaana. Ukiwa nayo asubuh uji utakunywa fresh makande utakula fresh. Pia utauza.Hahahaaaaa!! Ukawa mwizi ulokubuhu[emoji85][emoji85]
Nakumbuka shule langu na Old Moshi.. Noumer sana, hapo nimehamia form two nikitokea Moshi Ufundi..
Kule Moshi Tech nilisoma na viziwi,
Huku Old Moshi nikakutana na vipofu.. Ilikuwa raha sana.. But nashukuru nilijua lugha ya viziwi na vidoti vya vipofu..!
Day one naingia Old Moshi, nakumbuka nilipangiwa mambweni ya Meru.. Kuna wahuni walikuwa wanakaa Mawenzi, wakisikia mgeni tu wanataka kuja kumfanyia.... walipofika kwangu tu.. kabla ya salamu.. nikaanza kuwapa vitasa vya uhakika.. wakawa hawelewi... wakakimbia wote.. from dat day, niliheshimika mpaka namaliza form four..
Hahah, I see a brother. Itakua waluguru walizipeleka Mongwe.Nyayo!Waliniibia yeboyebo zangu nilizosafiri nazo kutoka mkoa.
Just imagine ndo nafika tu bwenini nikaleta usafi ule wa kihome home si nikavua mayeboyebo yangu ili ningie Dom, loooh wana wakapita nazo,nilikuja kuziona nipo form two term ya pil[emoji23].
Machalii wa Shaban Robert 06 Mzumbe Secondary tuheshimiane mazee.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]watu mna matukio aisee
Hahaha sawa chiefBahati mbaya sikuwahi kuipenda hiyo kazi! Mie nalima korosho wao waje wapasue, hakuna namna 🤣🤣🤣