Siku ya kwanza kuingia shule ya bweni ya Serikali

😂😂😂😂😂😂
 
Hii ya kuvaa rain boots na taulo nimecheka hahahahahahaha
 
😂😂😂😂😂 khaa nimecheka mpk tumbo linauma,,khaa
 
Ile nimefika tu form V pale mjini Tanga, nilifika kwa kuchelewa kama wiki 3. Nakuta watu wanasolve necta ya form VI tena maswali ya complex number wakati hata topic nilikuwa siijui inahusu nini. Nilipagawa.
Hahahah ungemuita jamaa mmoja anaitwa msocha akusaidie
 
Ndio hivyo mkuu manake ilikuwa ukivaa kandambili unaziacha kwenye matope![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahahaha mkuu me nakumbuka tulikuwa tunaenda mchaka mchaka na hizi rain boots maana huko nako mvua zilikuwa hazikomi
 
Mimi nakumbuka ilikuwa shule ya Sokondari Bagamoyo enzi hizo ilikuwa ni day and boarding school. Wasichana na baadhi ya wavulana wachache sana walikuwa day walikuwa hawafiki hata mia kwa ujumla wao nikakuta vijana wanaita Bagamoyo Boys High School wakati kuna wadada, nilipo fuatilia sababu nikaambiwa wale wadada walikuwa na sura kama za wavulana. Isingekuwa sketi zile zenye rangi nyekundu mtu angedhani wote ni boys kweli!
 
Shuke za boarding miaka ile zilikuwa ni shida sana, tabu tupu, wakati naanza form 1 milambo sekondari tabora kulikuwa na pisi 1 la kisukuma linaitwa Maduhu Bunyenyeke kutokea shinyanga, huyu jamaa kama yumo jf kwa kweli daah, huwa simsahau, alituchapa sana mikwaju, akipewa adhabu ya kufyeka ananyakua form 1 ili afyeke, nakumbuka alinipa sent 50, ati nikamnunulie sigara 5, kipande 1 cha sabuni na nirudishe change shs 20, ila jamaa hakunaliza shule alifukuzwa mwaka huo huo akiwa form 2
 
Hahahaha, kaka milambo sec lilikuwa ni godoro la sufi, yaani wakiona new comers wanaingia getini na wanafunzi wamekaa viungani wakipiga story wote wanaacha wanaanza kulia, ati umebeba maiti
 
Hahahaha, kaka milambo sec lilikuwa ni godoro la sufi, yaani wakiona new comers wanaingia getini na wanafunzi wamekaa viungani wakipiga story wote wanaacha wanaanza kulia, ati umebeba maiti
Hahaha,kumbe hata Milambo huo mchezo ulikuepo?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heaven Sent hivi ulisoma hii mpenzi? Haki mkwe sina.

BTW mkwe umefichika wapi?
 
Umenichekesha hapo kwenye kamasi na PPS eti cjui mpiga picha alizani urembo hahahahaaaaaaa my ribs
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heaven Sent hivi ulisoma hii mpenzi? Haki mkwe sina.

BTW mkwe umefichika wapi?
Haha mbona walijua kumuonea mume wangu jamani mweeh. Naona akajifunza na "ujambawazi" kabisa, bora na yeye aibe
 
Kuna kitu inaitwa sifongo, kitu porage halina sukari.

Mchana unakutana na gazeti, yan ule ukoko wa ugali unaumwagia chuzi la maharage yenye mazagazaga(mazagazaga ni vitunguu vilivyokaangwa na pilipili)

Ukitoka hapo unauchapa usingiz wa nguvu, saa kumi jioni tunaibukia self reliance... unachimba mashimo ya mizabibu dadek au kumwagilia milonge then michezo

Maisha yalikua interesting sana boarding skuli zote nlizopita

Usiku ni mwendo wa kubundi

Bihawana
Tosaganga
Songea boys
Pugu boys

It was fun
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…