Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Hebu hadithia vizuri ueleweke bwana.
Ha ha ha ha uzur nilikuwa mwenyeji wa hilo eneo naingia form V fresh tu madogo wakaja kunipokea na kunipeleka dom letu baada ya hapo maisha fresh tu jumatatu jumatano jumamos usiku siku za wali alhamis mchana siku ya nyama hapo ndio kimbembe.