DissDotCom
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 395
- 268
Daaaaaaah ningekua mimi ningemtimua jamaa siku hiyohyo nimalize mcheZo
Yaani hapo ni kidato cha 1? Nyie wengine naona mlikuwa tofauti na mimi. Mimi wakati niko kidato cha 5, ndevu zimeanza kutoka sasa, niliwahi kupendwa na msichana aliyekuwa anafanya kazi tayari. Alikuwa anafanya kazi TANESCO wilayani. Basi mchezo mchezo tu aka-fall in love. Akanikaribisha nyumbani kula chakula cha mchana nikaenda na mshikaji. Tukala, akatupa pesa, halafu tukaondoka. Weekend nyingine akanikaribisha pia, nikatokea na mshikaji tena. Tukala halafu tukaondoka. Baada ya muda kupita, akanikaribisha chakula cha jioni. Safari hii akasema niende mwenyewe tu. Hapo ndio nikafunguka macho. Sikwenda na mchezo ukaishia hapo. Mtu aliyetaka kunitoa kwenye mstari wa masomo wakati huo, sikumwelewa kabisa.