"Siku ya kwanza kukutana nae walikuja kwangu usiku", Sinta akipelekwa na Dida kwa Juma Nature

"Siku ya kwanza kukutana nae walikuja kwangu usiku", Sinta akipelekwa na Dida kwa Juma Nature

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Mega hitsong ya Juma Nature ni inaniuma sana.



Kwenye ule wimbo nature ameelezea mapenzi yake na mwanamama Sinta.

Kuna mstari anasema alikuja kwangu usiku. Usiku huo anaozungumzia Nature ni Sinta akipelekwa kwa Juma Nature na mwanadada nguli wa utangazaji Dida shaibu.

Dida na Sinta walikuwa marafiki sana wakati huo wakisoma pamoja pale Ilala.

Na Sinta alikuwa anamuelewa Nature akamfata kwao kurasini akidangaya rafiki zake yeye ni demu wa Nature ila hatimaye wakaingia kwenye mahusiano.

Pumzika kwa amani Dida Shaibu.

Mwanadada mwenye kipaji cha pekee cha utangazaji wa uswazi lifestyle, eneo hilo hakuna wa kuziba pengo lako.

Soma Pia: Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia
 
kutoka nje namkuta msichana namfahamu kwa jina la tina,
ambaye alisoma dsj chuo kile kikuu cha habari na nakatika kipindi hichi chote alikua anaishi hosteli..

Na huyu tina ni nani?
"Hila swala kubwa ni lako mama, usimsingizie Nina"
Nadhani katika hao watu wanne mmoja wapo alikuwa Nina ambaye alikuwa na urafiki na Sinta pia.
Maana kaole wakati ule visu walikuwa Sinta, Nina, Norah.
 
Usimsahau Swebe pia naye alichangia sana kuunganisha Nature na Sinta

Swebe na Sinta wote walikuwa wasanii wa Kaole Sanaa Group

Hapa Nature anamtaja Swebe kwa maneno haya kwenye wimbo wa inaniuma sana:


Akaja mshikaji wangu mmoja, kutoka kwenye lilelile gari akaja moja kwa moja, mpaka kwenye mlango wa gheto, nature nature kuna mtu anakuhitaji, embu toka umuone, juma huyu hapa, sasa ongea nae muelewane, muende mkajichane.
 
Mega hitsong ya Juma Nature ni inaniuma sana.

Kwenye ule wimbo nature ameelezea mapenzi yake na mwanamama Sinta.

Kuna mstari anasema alikuja kwangu usiku. Usiku huo anaozungumzia Nature ni Sinta akipelekwa kwa Juma Nature na mwanadada nguli wa utangazaji Dida shaibu.

Dida na Sinta walikuwa marafiki sana wakati huo wakisoma pamoja pale ilala.

Na Sinta alikuwa anamuelewa Nature akamfata kwao kurasini akidangaya rafiki zake yeye ni demu wa Nature ila hatimaye wakaingia kwenye mahusiano.

Pumzika kwa amani Dida Shaibu.

Mwanadada mwenye kipaji cha pekee cha utangazaji wa uswazi lifestyle, eneo hilo hakuna wa kuziba pengo lako.

Soma Pia: Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia
Mtoto wa like ukitaka kuwa maarufu eidha kupitia muziki, au Fulani, lazima sehemu zako za siri zichezewe sana na mwanaume walafi.
 
Back
Top Bottom