"Siku ya kwanza kukutana nae walikuja kwangu usiku", Sinta akipelekwa na Dida kwa Juma Nature

"Siku ya kwanza kukutana nae walikuja kwangu usiku", Sinta akipelekwa na Dida kwa Juma Nature

watanzania mnatakiwa kuokoka. ukweli ni kwamba, kati ya wadada walikuwa wanakwaza hata kutazama kwa sababu ya tabia mbaya, ni huyo mdada. alikuwa mfano mbaya kwa watoto wa kike, laiti kama angeokoka kabla kifo hakijamkuta, kwa sababu Mungu bado alikuwa anampenda.
Wee sie wabongo siasa ata kwenye kitu kipo so obvious
 
binafsi sio kwamba nahukumu, ila kuna watu ningepata nafasi kuonana nao au kama wapo humu, huwa nawaambia hata mabinti zangu kwamba hao ni mfano mbaya kabisa wa kuigwa. SEPENGA, mobeto, zari, antiezekieli, uwoya na bongo movie yote, hawa, wanamhitaji Mungu, waokoke waokoke, andaeni maisha yenu ya baadaye, where will you spend your eternity ndio iwe kitu cha kufikiri, maisha ya dunia hii yanapita, ila kule unakoenda ni kwa milele, aidha milele motoni au milele uzimani. uchaguzi ni wako.
 
watanzania mnatakiwa kuokoka. ukweli ni kwamba, kati ya wadada walikuwa wanakwaza hata kutazama kwa sababu ya tabia mbaya, ni huyo mdada. alikuwa mfano mbaya kwa watoto wa kike, laiti kama angeokoka kabla kifo hakijamkuta, kwa sababu Mungu bado alikuwa anampenda.
Usihukumu si kazi yako
 
Kwa nini ashindwe mmiliki Sinta ni wakaida tu anafanya kazi hospital ya wahindi askutishe hana life hiyooo

Muulize baba yako akupe historia ya hao warembo wa zamani wewe hauwezi kuwajua,hao walikuwa WAMOTO sana ,NORA ,SINTA ,MONALISA,NINA na DOKII ,hizo pisiii zilikuwa hatare sana......Kuna Mtangazaji wa DW Bikoo alikunywa Sumu ili ajiue kwa kukataliwa na NORA Ngwizukulu Jilala Herbalist Hospital....inawezekana ulikuwa haujazaliwa enzi za hao madada wakati wanatamba.
 
binafsi sio kwamba nahukumu, ila kuna watu ningepata nafasi kuonana nao au kama wapo humu, huwa nawaambia hata mabinti zangu kwamba hao ni mfano mbaya kabisa wa kuigwa. SEPENGA, mobeto, zari, antiezekieli, uwoya na bongo movie yote, hawa, wanamhitaji Mungu, waokoke waokoke, andaeni maisha yenu ya baadaye, where will you spend your eternity ndio iwe kitu cha kufikiri, maisha ya dunia hii yanapita, ila kule unakoenda ni kwa milele, aidha milele motoni au milele uzimani. uchaguzi ni wako.
Kuna walokole wangapi ni wahuni kuliko hao uliowataja?
Au kwa kuwa dhambi zao wanazificha, na za hao ziko public?
 
Usihukumu si kazi yako
kuna kuhukumu na kuonya, kama kuongea namna hii hata Yesu alisema tuwaonye. iwapo umemwona mtu mwovu usimwambie kuhusu uovu wake, ataangamia ila damu yake itadaiwa mikononi mwako. na shetani anapenda sana kutoa mstari wa usihukumu ili watu wasionywe. hiyo kauli ya usihukumu ina vigezo na masharti. Okoka, ama la moto unakusubiri. utaungua hadi useme sasa basi.
 
kuna kuhukumu na kuonya, kama kuongea namna hii hata Yesu alisema tuwaonye. iwapo umemwona mtu mwovu usimwambie kuhusu uovu wake, ataangamia ila damu yake itadaiwa mikononi mwako. na shetani anapenda sana kutoa mstari wa usihukumu ili watu wasionywe. hiyo kauli ya usihukumu ina vigezo na masharti. Okoka, ama la moto unakusubiri. utaungua hadi useme sasa basi.
Unamuonya marehemu?
Kwa nini hukumtafuta akiwa hai ukamuonya?
 
Muulize baba yako akupe historia ya hao warembo wa zamani wewe hauwezi kuwajua,hao walikuwa WAMOTO sana ,NORA ,SINTA ,MONALISA,NINA na DOKII ,hizo pisiii zilikuwa hatare sana......Kuna Mtangazaji wa DW Bikoo alikunywa Sumu ili ajiue kwa kukataliwa na NORA Ngwizukulu Jilala Herbalist Hospital....inawezekana ulikuwa haujazaliwa enzi za hao madada wakati wanatamba.
Sawa nitamuuliza.
 
Kuna walokole wangapi ni wahuni kuliko hao uliowataja?
Au kwa kuwa dhambi zao wanazificha, na za hao ziko public?
hao niliowataja, hao walokole wahuni unaowasema pamoja na wewe mwenyewe nakuona. okoka, ama la moto unakusubiri.
 
Muulize baba yako akupe historia ya hao warembo wa zamani wewe hauwezi kuwajua,hao walikuwa WAMOTO sana ,NORA ,SINTA ,MONALISA,NINA na DOKII ,hizo pisiii zilikuwa hatare sana......Kuna Mtangazaji wa DW Bikoo alikunywa Sumu ili ajiue kwa kukataliwa na NORA Ngwizukulu Jilala Herbalist Hospital....inawezekana ulikuwa haujazaliwa enzi za hao madada wakati wanatamba.
Biko alikua boya sana, sasa angekua kafa, BBC angeionea wapi?
 
Muulize baba yako akupe historia ya hao warembo wa zamani wewe hauwezi kuwajua,hao walikuwa WAMOTO sana ,NORA ,SINTA ,MONALISA,NINA na DOKII ,hizo pisiii zilikuwa hatare sana......Kuna Mtangazaji wa DW Bikoo alikunywa Sumu ili ajiue kwa kukataliwa na NORA Ngwizukulu Jilala Herbalist Hospital....inawezekana ulikuwa haujazaliwa enzi za hao madada wakati wanatamba.
Enzi hizo Instagram ilikua magazeti ya shigongo.

Shigongo kawapaisha sana hawa mademu.
 
Aliyeenda kugonga mlango alikuwa ni Swebe Santana Montana Nunda.
Walikuwa kama wanne hivi kwenye gari aina ya Chaser.
"Nature, Nature kuna mtu anakuhitaji hebu toka umuone."
Uongee naee,muelewanee kisha mukajichanee 😁😁😁
 
Saifee hospital😂

Sema watu wa zamani walikua hawajali kabisa kuhusu tako. Sinta hana tako kabisa Ila aliisimamisha nchi. Nchi nzima mzuri anaonekana yeye😂😂

Siku hizi bila kuwa na mzigo kama wa poshy queen Hakuna mtu atakuzingatia

Saifee hospital😂

Sema watu wa zamani walikua hawajali kabisa kuhusu tako. Sinta hana tako kabisa Ila aliisimamisha nchi. Nchi nzima mzuri anaonekana yeye😂😂

Siku hizi bila kuwa na mzigo kama wa poshy queen Hakuna mtu atakuzingatia
Zamani ukiwa na karangi ka mtume,mwanya au dimple wewe ni balaa...ila mabazazi wa siku hi-i mmmmmh
 
Back
Top Bottom