"Siku ya kwanza kukutana nae walikuja kwangu usiku", Sinta akipelekwa na Dida kwa Juma Nature

"Siku ya kwanza kukutana nae walikuja kwangu usiku", Sinta akipelekwa na Dida kwa Juma Nature

Saifee hospital😂

Sema watu wa zamani walikua hawajali kabisa kuhusu tako. Sinta hana tako kabisa Ila aliisimamisha nchi. Nchi nzima mzuri anaonekana yeye😂😂

Siku hizi bila kuwa na mzigo kama wa poshy queen Hakuna mtu atakuzingatia
Hadi kesho kutwa watakaondelea kuisimamisha nchi ni wenye sura nzuri kama Sinta. Tako ni kwa ajili ya short term plans. Ila sura ni long term. Wanawake wengi wenye mizigo huwa hawafiki mbali. Si unaona Sinta na Kidoti bado wamo?
 
Hadi kesho kutwa watakaondelea kuisimamisha nchi ni wenye sura nzuri kama Sinta. Tako ni kwa ajili ya short term plans. Ila sura ni long term. Wanawake wengi wenye mizigo huwa hawafiki mbali. Si unaona Sinta na Kidoti bado wamo?
Hata sura sio kivile, ni sababu zamani kuonekana kwenye tv ilikuwa big deal
 
Hata sura sio kivile, ni sababu zamani kuonekana kwenye tv ilikuwa big deal
Acha kujipa moyo. Sinta ni mwanamke mwenye sura nzuri sana. Hiyo zamani ndo alikuwa hatari kwa sababu ya umri. Kama kwenye 20s hujawahi sifiwa una sura nzuri basi sahau kusifiwa
 
binafsi sio kwamba nahukumu, ila kuna watu ningepata nafasi kuonana nao au kama wapo humu, huwa nawaambia hata mabinti zangu kwamba hao ni mfano mbaya kabisa wa kuigwa. SEPENGA, mobeto, zari, antiezekieli, uwoya na bongo movie yote, hawa, wanamhitaji Mungu, waokoke waokoke, andaeni maisha yenu ya baadaye, where will you spend your eternity ndio iwe kitu cha kufikiri, maisha ya dunia hii yanapita, ila kule unakoenda ni kwa milele, aidha milele motoni au milele uzimani. uchaguzi ni wako.

Hamna maisha mengine we acha kuota ndoto!
 
Aisee ebu wekeni picha ya huyo sinta wa enzi hizo tuone alikuwa mzuri kiaje sio mnatupiga mafix tuu hapa
Siku hizi tako kwanza, sura utapigwa doggy style
images.jpg
IMG_0003.JPG
F7FtMrEWsAAZf1X.jpg
 
Back
Top Bottom