Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliona mahojiano yake juzi kati hapa, bado yuko msupu, ila sasa humu wameshamponda alivyochokaNa nyie kwa kufukua makaburi hamjambo!Sinta ni highly respected HR kwenye hospital moja kubwa hapa Town we unaleta story za huyo nature kajichokea zake
Duh sinta yupo wapi?Tina ni kifupi cha Christina Manongi a mbae ndo huyo huyo Sintah# kwasasa naona wote wawili wanaishi kwenye dunia tofauti kabsa, sioni kama Nature anaweza kummiliki Sintah tena
Hivi huyu Nina aliendaga wapi? Ilikua pisi Kali sana halafu ni kauzu sana"Hila swala kubwa ni lako mama, usimsingizie Nina"
Nadhani katika hao watu wanne mmoja wapo alikuwa Nina ambaye alikuwa na urafiki na Sinta pia.
Maana kaole wakati ule visu walikuwa Sinta, Nina, Norah.
Watu wa Jamii forum ni waongowaongo sana...imagine kuwa HR pale Saifee hospital ni mwenzio huyo? Wanaongeleaga watu hata hawajawaona ila utasikia yule kwishaaa😅Niliona mahojiano yake juzi kati hapa, bado yuko msupu, ila sasa humu wameshamponda alivyochoka
Sinta ni la kisanii, Christina ndo jina halisi.Inawezekana ila atakua Christina tu piga ua.😥
Ila wasingekiwaisha kukila na chumvi kabla kijaiva, kingerefuka kidogo angesumbua sana mjini!Sinta mrembo bado
Inawapa nafuu ya mioyo yao iliyopondeka, tena iwe ni mwanamke basi watapondaa ikitokea mtu akaja na vithibitisho wanapoteana, sinta atakuwa kwenye 40's ila kwenye yale mahojiano ni kama ana early 30'sWatu wa Jamii forum ni waongowaongo sana...imagine kuwa HR pale Saifee hospital ni mwenzio huyo? Wanaongeleaga watu hata hawajawaona ila utasikia yule kwishaaa😅
Dar es salaam School of Journalism, kiko Ilala pale, mambo mengine ni kuweka ushairi sawa toka kwa bw Juma Kiroboto“ambaye alikuwa anasoma DSJ kile chuo kikuu cha habari”
Hapo Nature alitupanga sana🤣🤣
Eti DSJ ni Chuo Kikuu cha Habari…
usimuamini mwanamkeTina ni kifupi cha Christina Manongi a mbae ndo huyo huyo Sintah# kwasasa naona wote wawili wanaishi kwenye dunia tofauti kabsa, sioni kama Nature anaweza kummiliki Sintah tena
Saifee hospital😂Na nyie kwa kufukua makaburi hamjambo! Sinta ni highly respected HR kwenye hospital moja kubwa hapa Town we unaleta story za huyo nature kajichokea zake
2002?? Inaniuma sana hauwezi kuwa wimbo wa 2002Imepita miaka 22 tangu wimbo utoke, kweli nishazeeka
Kwanini? Maana DSJ ndy kipindi hicho kilijulikana kama chuo kikuu cha habari na kilikuwa na watoto wakali kabla ya kubadili jina na kuitwa TSJ ikiwa inafukuzana kwa pisi kali na DSA kabla ya kubadili jina na kuitwa TIA“ambaye alikuwa anasoma DSJ kile chuo kikuu cha habari”
Hapo Nature alitupanga sana🤣🤣
Eti DSJ ni Chuo Kikuu cha Habari…
watanzania mnatakiwa kuokoka. ukweli ni kwamba, kati ya wadada walikuwa wanakwaza hata kutazama kwa sababu ya tabia mbaya, ni huyo mdada. alikuwa mfano mbaya kwa watoto wa kike, laiti kama angeokoka kabla kifo hakijamkuta, kwa sababu Mungu bado alikuwa anampenda.Mega hitsong ya Juma Nature ni inaniuma sana.
Kwenye ule wimbo nature ameelezea mapenzi yake na mwanamama Sinta.
Kuna mstari anasema alikuja kwangu usiku. Usiku huo anaozungumzia Nature ni Sinta akipelekwa kwa Juma Nature na mwanadada nguli wa utangazaji Dida shaibu.
Dida na Sinta walikuwa marafiki sana wakati huo wakisoma pamoja pale Ilala.
Na Sinta alikuwa anamuelewa Nature akamfata kwao kurasini akidangaya rafiki zake yeye ni demu wa Nature ila hatimaye wakaingia kwenye mahusiano.
Pumzika kwa amani Dida Shaibu.
Mwanadada mwenye kipaji cha pekee cha utangazaji wa uswazi lifestyle, eneo hilo hakuna wa kuziba pengo lako.
Soma Pia: Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia