"Siku ya kwanza kukutana nae walikuja kwangu usiku", Sinta akipelekwa na Dida kwa Juma Nature

"Siku ya kwanza kukutana nae walikuja kwangu usiku", Sinta akipelekwa na Dida kwa Juma Nature

Watu wa Jamii forum ni waongowaongo sana...imagine kuwa HR pale Saifee hospital ni mwenzio huyo? Wanaongeleaga watu hata hawajawaona ila utasikia yule kwishaaa😅
Inawapa nafuu ya mioyo yao iliyopondeka, tena iwe ni mwanamke basi watapondaa ikitokea mtu akaja na vithibitisho wanapoteana, sinta atakuwa kwenye 40's ila kwenye yale mahojiano ni kama ana early 30's
 
Na nyie kwa kufukua makaburi hamjambo! Sinta ni highly respected HR kwenye hospital moja kubwa hapa Town we unaleta story za huyo nature kajichokea zake
Saifee hospital😂

Sema watu wa zamani walikua hawajali kabisa kuhusu tako. Sinta hana tako kabisa Ila aliisimamisha nchi. Nchi nzima mzuri anaonekana yeye😂😂

Siku hizi bila kuwa na mzigo kama wa poshy queen Hakuna mtu atakuzingatia
 
“ambaye alikuwa anasoma DSJ kile chuo kikuu cha habari”

Hapo Nature alitupanga sana🤣🤣
Eti DSJ ni Chuo Kikuu cha Habari…
Kwanini? Maana DSJ ndy kipindi hicho kilijulikana kama chuo kikuu cha habari na kilikuwa na watoto wakali kabla ya kubadili jina na kuitwa TSJ ikiwa inafukuzana kwa pisi kali na DSA kabla ya kubadili jina na kuitwa TIA
 
Nature mambo yake si ya kitoto.

Hapa kapozi na Bi. Mkubwa kabla Bi Mkubwa haja trend.

download (3).jpeg
 
Mega hitsong ya Juma Nature ni inaniuma sana.

Kwenye ule wimbo nature ameelezea mapenzi yake na mwanamama Sinta.

Kuna mstari anasema alikuja kwangu usiku. Usiku huo anaozungumzia Nature ni Sinta akipelekwa kwa Juma Nature na mwanadada nguli wa utangazaji Dida shaibu.

Dida na Sinta walikuwa marafiki sana wakati huo wakisoma pamoja pale Ilala.

Na Sinta alikuwa anamuelewa Nature akamfata kwao kurasini akidangaya rafiki zake yeye ni demu wa Nature ila hatimaye wakaingia kwenye mahusiano.

Pumzika kwa amani Dida Shaibu.

Mwanadada mwenye kipaji cha pekee cha utangazaji wa uswazi lifestyle, eneo hilo hakuna wa kuziba pengo lako.

Soma Pia: Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia
watanzania mnatakiwa kuokoka. ukweli ni kwamba, kati ya wadada walikuwa wanakwaza hata kutazama kwa sababu ya tabia mbaya, ni huyo mdada. alikuwa mfano mbaya kwa watoto wa kike, laiti kama angeokoka kabla kifo hakijamkuta, kwa sababu Mungu bado alikuwa anampenda.
 
Back
Top Bottom