uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,085
Hili tunda nlinunuaga nkala nlishindwa kumaliza kipande kimoja nkalitupa ila sijui nimelizoea vipi bhana leo hii mawili hayawezi nitoshaJuzi hapa nilimlazimisha rafiki yangu kula parachichi. Alikuwa hajawahi kula kabla ya hapo. Sasa kila nikimshawishi alikuwa hataki. Nikakata kipande kidogo hivi cha pembe tatu.
Nikamwambia kula hata hucbi kidogo huku usilifikirie, jamaa akala.
Aiseeh. Unajua alisemaje
"Kuna kipande chengine hapo uniongeze".
Sent using Jamii Forums mobile app
hili huwa naliona kwenye mavitabu ya kizungu tu, siku nikiliona lazima nilionje pia. Haiwezekani mwaka mzima unakula matunda aina nne au tano tu, labda ndio maana akili zinakuwa za kuungaunga.
Kabla sijaenda nje ya mada. Ni kweli linaloongelewa hapa ni tikiti?
Naona kama nitalitapika!!.. Ingawa nitakuja jitosa siku moja nilijaribu kama nilivyoweza jitosa Sambusa na Supu!..
Naona kama nitalitapika!!.. Ingawa nitakuja jitosa siku moja nilijaribu kama nilivyoweza jitosa Sambusa na Supu!..
Tikiti maji kama nikialikwa ugenini ndio nakula kwa McHale nisimkwaze mwenyeji, nyumbani siligusi. Parachichi ikiwa juice nitajihidi kunywa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sipendi harufu yake na limezidi sukari.Fenesi (jackfruit). Tamu sana.
Siku hizi nakula hivyo ila bado utumbo tu!..ππππhupend supu?sambusa?dah
pole sana..nn shida lakinSiku hizi nakula hivyo ila bado utumbo tu!..
Mtazamo tu.πππ
pole sana..nn shida lakin
Mie nakumbuka ilikua 2004 huko rombo.....tulikua tumetoka mafundisho ya dini bhana....tukawa tunapita mashambani tukakuta madude hata hatuyaelewi....at the first tulidhani ni maboga...tukalichukua tukalivunja ndani tukakuta lipo tofauti na boga....tukaonja mara tamu kichizi yani...acha tuyafakamie sasa hofu ikaje...tulikua tunahofia tusijekuwa tumekula lile tunda lililokatazwa kwenye bustani...tulikua tunasubiria kufa maana matumbo yalivimba kw maji mengi...ila baada ya masaa kupita tuko fresh ndio baadae tukaja kuambiw ni matikiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tunda linaitwa kiwi... Natamani siku nlionje.. But hisia zangu zinaniambia lina ladha mbaya kuliko matunda yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama uko Daslam tembelea soko la food lovers masaki utalipata au uhindini ila moja tsh elf tatu. Huku nilipo yako mengi tena bei chee....
Ni matamu mnoo na yana virutubisho vingi mwilini. Nayapenda sana.
View attachment 1008164
Hizo nyingine ni zabibu zisizo na mbegu, ni tamu mnoo.
I love eating [emoji39].
Kasie.
Kuna tunda linaitwa Pama lipo kama Nazi lakini lenyewe lipo sana kanda ya kati shy ,tbr,SGD sijawahi kulielewa kabsa lakni naona watu walitafuna kwelikweli
Naona kama nitalitapika!!.. Ingawa nitakuja jitosa siku moja nilijaribu kama nilivyoweza jitosa Sambusa na Supu!..
Basi mi nkiyaangalia na huo ukijani wake napata picha ladha ni ya ugwadu halafu ya ajabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo hayo! wewe umeshawahi kuyaonja ?Hayo ni mantonga au Mahama...!!