Ha ha ha watasema ni wivu tuI have to be honest brother with no sugar coating,kama hii ndio SUV umeamua kuwa nayo umejitafutia matatizo ya moyo na matumizi ya zaidi,utalipaki miaka mingine 11 ili uje litengeneza tena kwa kifupi utalipaka na likishalala ndio imeisha hiyo...
Mtu wa kusave kwa miaka 11 kununua gari ya 50M hawezi kuwa na uchumi wa maanaHaya mawazo uchwara ndio siyapendagi.
Uliwahi kulimiliki?
Unajua mishe zake?
Tuache kutishana...acheni watu waishi ndoti zao hata kwa mwezi inatosha historia imeandikwa.
😅😅Mtu wa kusave kwa miaka 11 kununua gari ya 50M hawezi kuwa na uchumi wa maana
Ndugu yangu umejaa ghilba ya dhahiri. PoleI have to be honest brother with no sugar coating,kama hii ndio SUV umeamua kuwa nayo umejitafutia matatizo ya moyo na matumizi ya zaidi,utalipaki miaka mingine 11 ili uje litengeneza tena kwa kifupi utalipaka na likishalala ndio imeisha hiyo...
Huyo mtu anayesema hujui dili zake ndio nilikuwa namshangaa! Ni upuuzi kuweka hela yote hio kwa miaka zaidi ya 10 eti kisa kununua gari ambayo stii ni outdated!😅😅
Wewe unakatisha tamaa kabisa, kwahy umuhinu wa ku-save haupo kwaajili ya ndoto Fulani?
Lakini si ametizima ndoto yake? Kwasababu ndoto ya mtu kuipangia ni kazi!Huyo mtu anayesema hujui dili zake ndio nilikuwa namshangaa! Ni upuuzi kuweka hela yote hio kwa miaka zaidi ya 10 eti kisa kununua gari ambayo stii ni outdated!
Walau hio pesa angenunua gari ya 2015 ningemuona ana akili!
Sawa ila hana helaaaa!!! Hilo ndio swala haijalishi anakaba au anaiba ukusanyaji wake ni finyuuuLakini si ametizima ndoto yake? Kwasababu ndoto ya mtu kuipangia ni kazi!
Kwamba katimizaje, hicho ni kitu kingine!
Na atapita nao sanaChombo ya kung'oa mademu wa Chuo
Umejinyima for 11 years kwa ajili ya kununua hiyo chembe ya moyo. Hongera sana
Utaendelea kujinyima Sana, Hilo Dudu ukifanya Masihara na mafundi na service Za hovyo linakufanya maskini!
Sasa nilichosema hapo uongo uko wapi au haujui hayo magari yakipark mda mrefu yana lala na hujui kwamba gharama zake ziko juu kwenye spare parts utafananisha na Toyota Shekh, hiyo gari inaumeme sana sensor kibao suspension tu 4M labda zimeshuka now.Ndugu yangu umejaa ghilba ya dhahiri. Pole
Aisee!Sawa ila hana helaaaa!!! Hilo ndio swala haijalishi anakaba au anaiba ukusanyaji wake ni finyuuu
Mmmmh hata hujamuuliza gari ina engine gani unakimbilia kusema wese.Wakati wengine wanakupongeza mimi ninakupa pole; WESE la hiyo gari sio la kitoto!!