zegamba180
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 820
- 541
Ahaaaaa aaaaa Joshua_ok umenikumbusha 4m 2 niliingia mitini. Ahaaaaduuh kwa kweli unastahili pongezi mimi mbona ningetoka NDUKI tu kwani Seminar presentation ilikuwa na marks ngapi? sidhani kama zinazidi marks 10
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nakumbuka miaka ya nyuma nilishawahi kwenda Interview ya Bank Teller CRDB pale Azikiwe daah sijui ndo kiingereza au uoga maana nilikuwa nikiulizwa swali najibu kwa sauti kubwa kama napiga ADHANA MSIKITINI (Swalaa Swalaa saa 11 alfajiri) mpaka yule HR akaniambia ndugu hebu RELAX hiii sio vita!! si unajua tena umemaliza shule umekaa mtaani kazi huna ghafla uaitwa interview wee nilikremu vitu balaa kufika tu mi natapika hata nisivyoulizwa
Ume niuwa Kwa kucheka duh hatariMimi nakumbuka tulikuwa tunawasilisha seminar ya IT. Swali lilikuwa "what is folder" hapo tupi first year. Mwasilishaji alitafuta maneno yote yakagoma kuja japo alimeza usiku mzima. Gafla akajibu folder is like a kabati, where there are cups, plates and so on" alipomaliza jasho lilikuwa linamtoka balaa. Ikabid mwl. amwambie kakae. Kiingereza si mchezo.
Ahaaaaa franktemuTuliwahi kusafiri na Mstahiki Meya wa jiji Fulani hapa Tanzania (jina kapuni) kwenda kwenye mkutano wa kimataifa huko UK (London) sasa kumbe yeye sijui hakuambiwa au alifurahia per diem tu kufika kule waandaji wakawa wanamkumbusha kuwa unapaswa ku-chair one of the session katika mkutano duuh mstahiki meya akaniomba nimsaidie nikamuambia kwa wakati huo ndo nitakuwa nawasilisha pepa (mada) pengine waliamua kumteua yeye maana tunatoka nchi moja iwe rahisi kuni-introduce daah jamaa alipoona haina jinsi ilibidi asepe kiaina hakuonekana kwenye ile session duuh ikabidi nimuombee udhuru nika-act kama session chair kisha nikawasilisha mada/pepa. Sasa baadae jioni namuona kwenye msosi namuuliza mstahiki ulikuwa wapi akadai alibanwa na tumbo la kuhara
Actuary off course yeahYeah...offcourse yes.....you know eeeeh... this...actually....[emoji17] [emoji28]
Kitabu cha profesa Mlambiti..Siku moja tupo kwenye seminar ya koz moja inaitwa rural agricultural economy maarufu kama YELLOW BOOK kwa waliosoma SUA wataelewa, basi picha moja ilikua imebandikwa ukutani ikapulizwa upepo ikadondoka chini jamaa kule mbele akiwa na maiki alisema "what is that, ooh the picture drop down without becouse" basi tulicheka sana
Hahaa viza nilipata ila Kwa kuonewa huruma manake maswali yalipozidi kuwa mengi nilianza Kutoa machozi,,, emotions zili take over. [emoji24] [emoji24]ipyax! ulipata viza na "broken" yako? vipi sasa? ume-improve?
Chichungu noooma thanaaaChiingereza noma