Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

duuh kwa kweli unastahili pongezi mimi mbona ningetoka NDUKI tu kwani Seminar presentation ilikuwa na marks ngapi? sidhani kama zinazidi marks 10
Ahaaaaa aaaaa Joshua_ok umenikumbusha 4m 2 niliingia mitini. Ahaaaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ume niuwa Kwa kucheka duh hatari
 
Ahaaaaa franktemu
 
Dah kila nikisoma comments za watu hapa nabaki kucheka tu. . Kingereza ni nouma asee Weka mbali na watoto
 
Ila wakulu wengi kiingereza chao kipo very low. ukiacha mzee wa mambo ya mbele (nje)
 
Kitabu cha profesa Mlambiti..
[emoji2] [emoji2]
 
Siku ya kwanza kuongea kiingereza ilikua kwenye interview ubalozi wa uingereza wakati naomba viza ya kwenda huko. Ndio nimetoka kumaliza form 6 tu,yani bora ningefanyiwa interview na blacky mwenzangu kuliko bibi yule wa kizungu.
Mpaka kesho huwa najiuliza niliongea nini lakini sikumbuki.
 
duuh ipyax so ulipewa viza kwa huruma tu! hataree naona bibi wa kizungu akaona ngoja nimtoe tu huyu dogo asije kunifia hapa na broken yake.
 
Sitasau siku moja Chuoni..Madam mmoja Aitwae Jibrea akanichagua from no where 'go and write a word kitunguu in English...kumbukaa.Ni Degree Na Ni.Mwalimu Wa English kwa miaka 10 Na nakijuaa ...hatarii nikajikuta nnaandika Union..Na kwa mbwembwe nikachoraa...sasa nikashangaa Watu wanaguna..basi ile kujaa akachaguliwa Dada mwingine mwenye Mbwembwe kujifanya Amesomea International schools Ndo kunirekebisha Onion...Rohoo iliniumaaa sababu Najuaa ila sijuii Ni shetani Gani alinigusa... Hatujakaa sawa Madam akamwinua Dada mwingine aitwae Gift 'come in Front' akaenda kufikaa..Chuo blackboard Ni zile za kufungua Na kupandisha Na kushushaa.(hope mnazijua)basi...sasa kwa kuwa Madam alitaka yule dada Aandike kitu Na Ni mfupi ubao ulipandishwa Ukawa juu...Akamwambia 'pull the blackboard..Down!!!.. Dada kaganda..,akarudia kwa msisitizo with high pitch..Dada still aliganda. Ghafra tukiwa tunachangaa what happened to her...Akapiga Magoti...heee! Madam akarudia tena..sasa kumbe lilee neno Down Ndo alilipata Na akadhani Kuna jambo kakosea Ndo Lecturer anampa Adhabu..sasa Mara akawa anatambaa huku akimfuata Madam..wkt huo Darasa kwa kuwa walijua hajaelewa walichekaa saaana..thing which made her to cry Loudly..... just thing about that A University student...Kiinglish Ni Noumer..Dada yule Baada ya incident ile hakukaa Darasani Japo kipindi Ndo iilikuwa kina anza Aliondoka kwa Huzuni kuubwa..swali jje t ungekuwa tunatumia lugha yetu kama Wachina jje t ungekuwa Tunaumbukaa mpaka wengine wanakimbilia chuoni wkt Wa kupresent..Mara ivi..OMG!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…