Mi nakumbuka siku nimeenda interview ya kwanza pale CRDB azikiwe mwaka 2003 nilikuwa natetemeka huku sauti (KUPAYUKA kama vile napiga Adhana ya alfajiri msikitini) mpaka Human resource officer/manager akaniambia Relax ndugu hii si vita!
Yaani nikikumbukia hii interview nakua mdogo kama piriton. Sasa sijaelewa enzi zile ni kwamba ulimi ulikuwa mzito au nili-panic tu na mambo ya interview daah!
Aprili, 2016
Wadau baada ya pale nilifanya jitihada binafsi ikiwemo kusoma sana magazeti ya kiingereza (Daily News, vitabu na kuangalia news za kiingereza tu hasa BBC, CNN na Al-jazeera) sasa natema YAI kwa kiwango cha kujiridhisha, yaani naweza unganisha sentensi nikaeleweka na mwingereza! inshort, hata nikihojiwa na TV za kimataifa sihitaji sub-title kwenye screen. Slaying imenyooka!
Yaani nikikumbukia hii interview nakua mdogo kama piriton. Sasa sijaelewa enzi zile ni kwamba ulimi ulikuwa mzito au nili-panic tu na mambo ya interview daah!
Aprili, 2016
Wadau baada ya pale nilifanya jitihada binafsi ikiwemo kusoma sana magazeti ya kiingereza (Daily News, vitabu na kuangalia news za kiingereza tu hasa BBC, CNN na Al-jazeera) sasa natema YAI kwa kiwango cha kujiridhisha, yaani naweza unganisha sentensi nikaeleweka na mwingereza! inshort, hata nikihojiwa na TV za kimataifa sihitaji sub-title kwenye screen. Slaying imenyooka!