Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

Ungegonga kiroba kingetiririka kama maji yaelekeayo bondeni !

Hakuna lolote, me nlitumiaga trick hiyo wkt npo pale IFM nikagonga viroba kipindi hcho zinaingia Power, mbona nlipoambiwa nipite mbele pombe yote iliniishia. Ni mfumo wa elimu tu mbovu, mbona wazazi wetu waliosoma zamani walikuwa wazuri tu hata walioishia form four waliweza kuongea kiingereza. Tatizo lilianza wakati wa Mwinyi, ss na hawa wa shule za jk hz ndo sipati picha itakuaje!
 
swala n kujiamini that's all ata kikwete hajui kmombo ila ndo'vo tu slow but sure. Swala kujiamini tu sema hatujengewi msng ya kujiamini tangu tungali
 
swala n kujiamini that's all ata kikwete hajui kmombo ila ndo'vo tu slow but sure. Swala kujiamini tu sema hatujengewi msng ya kujiamini tangu tungali

Huwez kujiamini wkt kiingereza hakipo bna, utakuwa km yule mbunge alikuwa anasema Sory kili dakika. Cha muhimu ni kujifunza kiingereza kwa kuzoea kukiongea
 
Mdogo wangu aliandika essay ya kwanza katika kiingereza na kunipa nisahihishe ndipo nikakutana na hii line: "...my first of my girl friend is when I meet her in the night of the moon of July 31, 1992 when my friends and me go to disco toto..."

Nikashikwa na kizunguzungu na kumuuliza alikuwa anamaanisha nini.

Akanijibu: ...demu wangu wa kwanza nilikutana naye usiku wa mwezi July 31, 1992 wakati nilienda disco toto na washikaji..."

Hahahahahahahaaaaaaaaaaaa
 
Kiingereza si masikhara aisee kuna Mzee Mmoja maarufu alishawahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM, kisha Katibu Mkuu wa Chama cha Siasa M... jamaa ngeli ilikuwa haipandi akipata wageni wa kuongea nao kiingereza ama asingizie anaumwa au amsukumie Katibu Tawala ha ha ha... Chezea Lugha wewe
 
Kiingereza si masikhara aisee kuna Mzee Mmoja maarufu alishawahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM, kisha Katibu Mkuu wa Chama cha Siasa M... jamaa ngeli ilikuwa haipandi akipata wageni wa kuongea nao kiingereza ama asingizie anaumwa au amsukumie Katibu Tawala ha ha ha... Chezea Lugha wewe

Hahahahaaa bila shaka ni ndug makamba senior huyo, hahah
 
Ki-English kinaumbua watu sana namfahamu Lecturer mmoja pale UDSM (Geography Dept.) anaitwa Dr. Donald Mwiturubani) akiongea kiingereza utatamani ulie.
 
Jameni Kiingereza kilinitoa nunge kwa demu wa kiganda nikajidai mkumtongoza kumbe hajui Kiswahili daah!! na mimi lugha ndo ishu ikabidi niteleze kama nimekosea njia.
 
Hakuna lolote, me nlitumiaga trick hiyo wkt npo pale IFM nikagonga viroba kipindi hcho zinaingia Power, mbona nlipoambiwa nipite mbele pombe yote iliniishia. Ni mfumo wa elimu tu mbovu, mbona wazazi wetu waliosoma zamani walikuwa wazuri tu hata walioishia form four waliweza kuongea kiingereza. Tatizo lilianza wakati wa Mwinyi, ss na hawa wa shule za jk hz ndo sipati picha itakuaje!

hahahaha umenifuraisha ulipoambiwa utoke mbele pombe ikaisha
 
Nakumbuka siku ya kwanza niliambiwa nipite mbele nipige ombi 'sala' ilikuwa hizi mission schools hapo niko form II na woga wangu..mweeeh! Sitaisahau siku ile..! Lakini baada ya ile siku woga wote ulinitoka...!
 
kiingereza usifanye nacho masikhara aisee, unaweza kudondoka bila sababu, kisa umeambiwa uongee kiingereza BI MKORA si unamsikiaga akizungumza Kiingereza pale mjengoni??? SENKYU VEREEEEEEE MAAAAAACHEEEEE!!! Kireno si kireno basi vurugu mechi!!!!
 
balaa la kiingereza ni pale ukute unaoongea nao wanakijua vilivyo yaani wanakucheck tu unavyovunja. Hatari sana jameni, Elimu yetu ya kibongo uozo tu, eti na sasa wanataka watu wajifunze kwa kiswahili kuanzia nursery mpaka universities. Hapo ndo tutakuwa tumeloga jumla
 
Siku moja tupo kwenye seminar ya koz moja inaitwa rural agricultural economy maarufu kama YELLOW BOOK kwa waliosoma SUA wataelewa, basi picha moja ilikua imebandikwa ukutani ikapulizwa upepo ikadondoka chini jamaa kule mbele akiwa na maiki alisema "what is that, ooh the picture drop down without becouse" basi tulicheka sana

Hahah...aseeh ni shigdah
 
Back
Top Bottom