Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

Aisee dah! hahahahahahahah lol!!!! Nimecheka sana lol!!!! huu uzi ni kiboko duh!!!!!

Nakumbuka miaka ya nyuma nilishawahi kwenda Interview ya Bank Teller CRDB pale Azikiwe daah sijui ndo kiingereza au uoga maana nilikuwa nikiulizwa swali najibu kwa sauti kubwa kama napiga ADHANA MSIKITINI (Swalaa Swalaa saa 11 alfajiri) mpaka yule HR akaniambia ndugu hebu RELAX hiii sio vita!! si unajua tena umemaliza shule umekaa mtaani kazi huna ghafla uaitwa interview wee nilikremu vitu balaa kufika tu mi natapika hata nisivyoulizwa
 
Nakumbuka miaka ya nyuma nilishawahi kwenda Interview ya Bank Teller CRDB pale Azikiwe daah sijui ndo kiingereza au uoga maana nilikuwa nikiulizwa swali najibu kwa sauti kubwa kama napiga ADHANA MSIKITINI (Swalaa Swalaa saa 11 alfajiri) mpaka yule HR akaniambia ndugu hebu RELAX hiii sio vita!! si unajua tena umemaliza shule umekaa mtaani kazi huna ghafla uaitwa interview wee nilikremu vitu balaa kufika tu mi natapika hata nisivyoulizwa

Hahahaaaaaah....navuta picha ilikuwaje hahahaaa
 
Ahahahahahha
Nimecheka sana leo

Wengine mnaongelea yaliyopita sie wengine bado kingereza ni majanga
 
Hahahahaaa clasi na wengine mmenichekesha leo sijawahi...khaaaa!
 
Last edited by a moderator:
Alaf kwap a linatoaga jasho lingi cjuh linatokaga wap?

hahahahahaaa jasho hutoka kwa wingi kwa sababu ya anxiety, umenikumbusha enzi za chuo siku ya presentation unatamani kuumwa ili tu usiende tutorial
 
Siku moja tupo kwenye seminar ya koz moja inaitwa rural agricultural economy maarufu kama YELLOW BOOK kwa waliosoma SUA wataelewa, basi picha moja ilikua imebandikwa ukutani ikapulizwa upepo ikadondoka chini jamaa kule mbele akiwa na maiki alisema "what is that, ooh the picture drop down without becouse" basi tulicheka sana

Ha ha ha ha ha hiv hii kweli jaman maana nimecheka mpaka machoz yamenutoka duuh hii mada ya Leo inatisha
 
Hahahahahahha aah ahsanteni wapendwa, yani nimecheka usiku huu hadi na kausingizi kamekuja, kwi kwi kwi english ni wito kwa kweli
 
Wandugu kama mjuavyo wengi wetu tumesoma shule za st. Kayumba kwa hiyo Ngeli ni ishu kwetu. Basi kwa kuunga unga hivyo hivyo nikachaguliwa Chuo (UDSM) sasa kufika huko si ndo mambo ya Seminar za DS 101 natakiwa ni-present ilikuwa balaa usiku kabla ya seminar sikulala naogopa.

Kwenye seminar yenyewe sasa jasho lilinitoka mwili mzima balaa yaani naona nyota nyota tu daah! sitaki kukumbuka. Lakini namshukuru Mungu baada ya pale nilifanya bidii y kujifunza kwa kusoma zaidi vitabu vya kiingereza na kuongea na watu wasiojua kiswahili (hasa waganda, Wazambia & Waganda).

Angalau sasa mambo si mabaya Ulimi si mzito tena kiviile!!! English aisee ni hatari jamani. SHIKAMOO KIINGEREZA

kuna darasa moja chuo .... ikifika mda wa presentation lazima wajiandae kudaka kina dada jinsi wanavyozimia...
 
Kipindi tupo O level, akaingia mwalimu wa zamu, akaagiza tujihesabu, ajue idad ya watoro, bas ghafla ikaanza One,Two,Three..... Kufika nyuma kimyaa, tunaanza tena, ikifika pale kimyaa, kumbe jamaa imewakutia namba 12,13,14,15 ilikua ni vita kuzitaja..! kwa usalama wote wakahamia mbele ili waanze na 0ne.. hizi si mteremko.

Hahaa kingereza noma..
 
Kuna Ma-lecturer (Dr's & Professor's) vyuo vikuu Tanzania, hususani UDSM kuongea kiingereza ni ishu. Nachelea kuwataja kwa majina na Idara na masomo ( kwa Course Code) wanazofundisha hapo UDSM-Main Campus. Lecture yote anaongea KISWAHILI tu unajiuliza alipataje PhD huyu? je akienda kwenye International Academic Conferences huwa anaongeaje? Kaazi kweli kweli. Lugha watu hujifunza lugha. Watanzania tusiwe wavivu kujifunza KIINGEREZA
 
chiingereza kwa kweli si mchuzi yaani inabidi mtu ujitoe muhanga tu kusoma vitabu na magazeti ya kiingereza na sio udaku wa erik shigongo. Eeeh Mola tunusuru na janga hili kwa kutupa uwezo wa haraka kujua lugha hii ya malkia
 
O levo io nakumbuka tulichelewaga pindi na physics darasani mimi na rafiki yangu ticha akaturuhusu tuingie kwenye pindi tusome na baadae akitoka darasani tumuone..kweli tulimfuata ofisini kwake ndipo yule ticha akatuuliza kwani mliochelewa kwenye kipindi mlikua wangapi(kwa kimombo) kwakua tulikua wawili tu,yule jamaa yangu akadakia ''we are second''
 
Back
Top Bottom