Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

Siku moja tupo kwenye seminar ya koz moja inaitwa rural agricultural economy maarufu kama YELLOW BOOK kwa waliosoma SUA wataelewa, basi picha moja ilikua imebandikwa ukutani ikapulizwa upepo ikadondoka chini jamaa kule mbele akiwa na maiki alisema "what is that, ooh the picture drop down without becouse" basi tulicheka sana
Kitu cha Mlambiti eeeeh mkuu..
 
Kuna mmoja tukiwa form one wakati huo kulikuwa na 'no English no service' rule, siku hiyo jamaa alisahau daftari, mwalimu kafika kwa mwanafunzi aliyekuwa mbele ya huyo jamaa, akaulizwa where is your exercise book akajibu I forgot it home, sasa ilipofika za much yake hakujua yule jamaa wa mbele alisemaje, alipoulizwa akasema I dolilo. Class nzima ilipasukiwa na kicheko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Enzi hizo Makongo high school pale, kulikuwa na kibao Speak English or French. Sasa ukifika pale getini unakutana na Ma-mp wanoko kishenzi,hapo ushachelewa,hakuna namna lazima utafute namna ya kujinasua vinginevyo kichura chura,kufyeka vitakuwa ni sehemu ya masomo yako siku hiyo,basi wajanja wakagundua njia,wala mamp walikuwa weupe,hawana shule,wakikukomalia unafunguka sentensi yoyote ile ya kiingereza na ujanja wao ulikuwa unaishia hapo. Basi kuna siku wakamdaka jamaa yetu kipindi hiko form njuka unajua definition na importance za masomo, MP :Aroo kwanini umechelewa? JAMAA : Transportation is a process of moving goods and services from one place to another MP : Hay kwenda ndani na kibao juu,hiyo ndio ilikuwa salama yake na hapo akawa katufungulia njia pale getini,ukiulizwa we unadefine chochote kile mpaka kuna denti alijisahau akatoa definition ya kemia bahati mbaya pembeni kuikuwa na mwalimu wa zamu,kilichomkuta yule dogo hawezi kusahau maisha yake yote [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimechekaaaaaaa.Is the processes.....
Pia Kuna ile ya Mambo ya JKT Si unajua makuruta wengi weupeeee
Basi adhabu ya kufyatua matofali 20,20
Basi form Six fresh from school Ngeli ipoo ipoo.Akaona Si vibaya afyatue mengine 5 in case of anything.Yakawa pembeni.
Akaja Afande kukagua Mara anayaona Yale matofali 5 pembeni.Kwa hasira sana(you can Imagine)
HUYU NI NANI KAFYATUA MATOFALI KIDOGO?????
Mhusika: Ni ya EXTRA!
KWA HASIRA KALI
Ebu kaliiteni RIEXTRA RIJE HAPA!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimechekaaaaaaa.Is the processes.....
Pia Kuna ile ya Mambo ya JKT Si unajua makuruta wengi weupeeee
Basi adhabu ya kufyatua matofali 20,20
Basi form Six fresh from school Ngeli ipoo ipoo.Akaona Si vibaya afyatue mengine 5 in case of anything.Yakawa pembeni.
Akaja Afande kukagua Mara anayaona Yale matofali 5 pembeni.Kwa hasira sana(you can Imagine)
HUYU NI NANI KAFYATUA MATOFALI KIDOGO?????
Mhusika: Ni ya EXTRA!
KWA HASIRA KALI
Ebu kaliiteni RIEXTRA RIJE HAPA!!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimechekaaaaaaa.Is the processes.....
Pia Kuna ile ya Mambo ya JKT Si unajua makuruta wengi weupeeee
Basi adhabu ya kufyatua matofali 20,20
Basi form Six fresh from school Ngeli ipoo ipoo.Akaona Si vibaya afyatue mengine 5 in case of anything.Yakawa pembeni.
Akaja Afande kukagua Mara anayaona Yale matofali 5 pembeni.Kwa hasira sana(you can Imagine)
HUYU NI NANI KAFYATUA MATOFALI KIDOGO?????
Mhusika: Ni ya EXTRA!
KWA HASIRA KALI
Ebu kaliiteni RIEXTRA RIJE HAPA!!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwa hiyo hizo maksi 10 ungesema 'potelea mbali, acha nizikose tu' kuliko kuadhirika mbele ya watu?

Mnanichekesha kweli leo!
Presentation inasaidia kujiamin mbele wa wengine hata ukiwa team leader lazima ytakuwa unapresent wafanyakaz wako au hata watu wengine presentation inatujenga kwrnye mazingira ya kazi ili kukabiliana na hali ya waswas,expect a certain amount of stage fright wasws kwa mtu yoyote ni lazma hasa mwazon mwa uwasilishaji please dont afraid its matter of time hofu ni ya muda tu pia unapoongea kiingereza ili uwe unapangalia maneno unapaswa kuongea kwa ktuo sio unaongea kama mtu asie jielewa hakiksha kila sauti yako kila neno unalotamka linasikika na lenye kituo for example,
Hi every body...........hii ndio njia nzur ya kuanza kupresent mbele ya watu.
Kisha tell howa you feel
Let your words more effeciency

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa wakati nipo sekondari alienda toilet sasa wakati anarudi akamkuta mwalimu ameshaingia class, mwalimu akamuuliza kwa kiingereza "where were you?" Na hapo ilitakiwa ujibu kwa kiingereza ndio uingie class, jamaa kwa kujiamini kabisa akajibu "I am toilet" ee bwana ee kidogo watu wavunje viti kwa kucheka ilibidi tu mwalimu amruhusu kuingia class.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa wakati nipo sekondari alienda toilet sasa wakati anarudi akamkuta mwalimu ameshaingia class, mwalimu akamuuliza kwa kiingereza "where were you?" Na hapo ilitakiwa ujibu kwa kiingereza ndio uingie class, jamaa kwa kujiamini kabisa akajibu "I am toilet" ee bwana ee kidogo watu wavunje viti kwa kucheka ilibidi tu mwalimu amruhusu kuingia class.

Sent using Jamii Forums mobile app
Afande Miraji( Rest in peace Afande)
Sasa kati kati ya wiki Kipingu alikuwa Lazima aje assemble Na Ni English tu!
Basi maafande wanakuwepo but wapoleeee Si Unajua Ung'eng'e not reachable????
Afande miraji Sasa hataki kukubariii
' Kipingu hapo keshatoka
Students!!!
Turn left, turn right!!.
Eeeh eeeh Why are you Laughing???
Why are you Laughing like BANANA??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afande Miraji( Rest in peace Afande)
Sasa kati kati ya wiki Kipingu alikuwa Lazima aje assemble Na Ni English tu!
Basi maafande wanakuwepo but wapoleeee Si Unajua Ung'eng'e not reachable????
Afande miraji Sasa hataki kukubariii
' Kipingu hapo keshatoka
Students!!!
Turn left, turn right!!.
Eeeh eeeh Why are you Laughing???
Why are you Laughing like BANANA??

Sent using Jamii Forums mobile app
Allah amfanyie wepesi kaburi lake liwe miongoni mwa bustan za pepon. Niliacha kukaa mstarini siku marehem miraji alipomkwangua ndevu kijana aliekaa mbele yangu kwa kutumia jiwe sitaisahau ile siku cz na mimi ndevu nilikuwa nazo,nikawa najiuliza huyu kiumbe akimalizana na huyu bwana si nafuata mimi,unaweza ukahisi nilikuwa ktk hali gani
 
Allah amfanyie wepesi kaburi lake liwe miongoni mwa bustan za pepon. Niliacha kukaa mstarini siku marehem miraji alipomkwangua ndevu kijana aliekaa mbele yangu kwa kutumia jiwe sitaisahau ile siku cz na mimi ndevu nilikuwa nazo,nikawa najiuliza huyu kiumbe akimalizana na huyu bwana si nafuata mimi,unaweza ukahisi nilikuwa ktk hali gani
Afande Miraji ( Aisee! Waliopitia era yake! You can not forget Afande Miraji at easy!
I still remember( but somehow alikuwa binadamu Na Huruma Na vitambulisho vyake)
OK.
Sasa kuna siku alimchapa mwanafunzi akapassout
Akasema Leteni Maji akaletewa kwenye ndoo akamwagiwa ile kuamkaa tu akamchapa tena( hivi wanajeshi wana nini?)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Allah amfanyie wepesi kaburi lake liwe miongoni mwa bustan za pepon. Niliacha kukaa mstarini siku marehem miraji alipomkwangua ndevu kijana aliekaa mbele yangu kwa kutumia jiwe sitaisahau ile siku cz na mimi ndevu nilikuwa nazo,nikawa najiuliza huyu kiumbe akimalizana na huyu bwana si nafuata mimi,unaweza ukahisi nilikuwa ktk hali gani
Pia namkumbuka Babu Chacha.( Afande Chacha)(R.I.P)
Basi bwana alikuwa Na mambo Fulani hivi sijui masihara yaliyozidi but kwa wengi wetu yalikuwa yanakera
Imagine!
Eti akimkuta Binti salimia yake Ni kubusu( Mwaa mwaaa mwaa au kushika chuchu kwa mbali)
Ukiwa mgeni huwezi Amini kama Babu huyu Afande tena mwanajeshi he could do that to anyone.
Basi bwana Siku 1 isiyo Na jina Form 5 mmoja Binti mrembooo innocent akiwa anakatisha viunga vya skuli Si akakutana naye ile Paaa! Si akamgusa nyonyoo eeeh Hakukubari akaenda semelea kwa Mama( I think hakuwa anatoka mbali sana( Kawe)
Eeeh Mama Akaja Na kibwebwe) amekaa reception ili aingie kwenye uongozi Aelezeee mkasa Na hatua za Kinidhamu zichukuliwee)
Jamani Bila kujua akiwa amekaa kwenye kiti Si Akatokea Babu Chacha Mama Naye akashikwa Chuchu!!!
Si kwa mshangao au kwa hasira alipoambiwa Ndo Mtuhumiwa Na ikumbukwe alikuwa Na cheo maafande wengine wanampigia Salute
Mama Aliondoka Bila kuaga
Waliosoma Makongo enzi hizo Lazima wanakumbuka)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afande Miraji ( Aisee! Waliopitia era yake! You can not forget Afande Miraji at easy!
I still remember( but somehow alikuwa binadamu Na Huruma Na vitambulisho vyake)
OK.
Sasa kuna siku alimchapa mwanafunzi akapassout
Akasema Leteni Maji akaletewa kwenye ndoo akamwagiwa ile kuamkaa tu akamchapa tena( hivi wanajeshi wana nini?)

Sent using Jamii Forums mobile app
Afande Miraji ( Aisee! Waliopitia era yake! You can not forget Afande Miraji at easy!
I still remember( but somehow alikuwa binadamu Na Huruma Na vitambulisho vyake)
OK.
Sasa kuna siku alimchapa mwanafunzi akapassout
Akasema Leteni Maji akaletewa kwenye ndoo akamwagiwa ile kuamkaa tu akamchapa tena( hivi wanajeshi wana nini?)

Sent using Jamii Forums mobile app
Afande Miraji ( Aisee! Waliopitia era yake! You can not forget Afande Miraji at easy!
I still remember( but somehow alikuwa binadamu Na Huruma Na vitambulisho vyake)
OK.
Sasa kuna siku alimchapa mwanafunzi akapassout
Akasema Leteni Maji akaletewa kwenye ndoo akamwagiwa ile kuamkaa tu akamchapa tena( hivi wanajeshi wana nini?)

Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha aisee Afande Miraji hasauliki kabisa RIP, siku ya orientation form V wageni wa makongo walikuwa wanapata sana,kuna siku ilipingwa kwata 2005 wadada wakaanguka na kuzimia,mmoja wapo alipozinduka akasema nakufa,marehem miraji akamwambia kufaa,nani alikwambia uje makongo
 
Back
Top Bottom