Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

kiingereza ni wito wandugu. Natamani nimsikie mbunge wangu wa pale Stendi ya mabasi akizungumza KIINGEREZA fasaha, upenuni/kwenye kadamnasi.
 
Aisee, hii thred ntaisoma kwa mafungu
Kila nikiwa na stress ntairudia hii thread ili niongeze siku za kuishi
 
tuamue moja kama taifa KISWAHILI TUPU kuepusha aibu kama hizi.
 
Mtetemeko Camp. Ras Simba afungue ofisi na Dodoma atapata wateja wengi sana.
 
Nime-improve sana kwa sasa nasoma magazeti ya kiingereza tu na kuangalia BBC World News, CNN na Al-jazeera....Mambo ya sijui Clouds, TBC na ITV tupa kule.
 
Kwa hiyo hizo maksi 10 ungesema 'potelea mbali, acha nizikose tu' kuliko kuadhirika mbele ya watu?

Mnanichekesha kweli leo!

Kaka its not a loughing matter..

Isije kuwa hata hapo juu nimeshazingua.

Hizo hizo semina nakumbuka tunaenda kwa magroup, sasa tumegawana huyu intro, huyu advantages, hadi conclusion

Sasa jamaa mmoja mwongeaji kweli, mjuaji, jeuri sana. Akachagua eti ye conclusion. Alidai ata summurize yote tutakayoongea. Siku ilipofika pale mbele ilkuwa kama ngonjera

Wa kwanza katoa definition tu, kamaliza eti ndo intro,
Wapili, watatu........ wacha afike wa conclusion Duuh alipofika tu akasimama pale akasema

"Conclusion, akakaa kimya kdg then Thank you."
 
muuza ubuyu said: Question tag sasa, 'Yo took my pen, tookn't you?

hahahahaaaaaaaaaaaaaa......
 
Nakumbuka siku ya kwanza kuongea kiingereza nipo shule ya msingi kayumba,kihome kulikuwa na mabroo muda wote walikuwa wanaongea kidhungu,aisee kuna swali nilimuuliza kaka mmoja kwa kidhungu alinikatisha sana tamaa,alinicheka akaniambia eid kingereza hakiongelewi ivo dah....!!!! Nilikuwa mdogo sana,nikamkataa huyo jamaa nikajipendekeza kwa marafiki zake wengine wawili ambao kwa sasa ni marehemu,nashukuru sana ndo walikuwa waalimu wangu wakubwa wa kiingereza,mara home akapanga broo mmoja alikuwa anasoma mlimani lakini huwa likizo anaenda zambia kwa bimkubwa wake hapo nipo kidato cha kwanza alikuwa wakati wote akiniongelesha kidhungu na alikuwa akinishanga kayumba nipo kidato cha kwanza nilikuwa nakinyosha ,akawa ananikubari anasema mlimani pale chuoni kuna jamaa zake kibao hata kuunda sentesi nyepesi ambayo ipo sahh ni tatizo,aise nashukuru kwa kiasi fulani jamaa amenijenga sanaaa........ilikuwa kama hatupo bongo vile,kun madada fulan wa kikenya na america nikiongea nao wananiambia aiseee upo vizuri sana lakini huwa najiona bado kabisaa
 
1..dah m nakumbuka nilichaguliwa nitoe morning speech pale bukoba sec n nikakesha nakariri ya kuongea nlipofka xul kengere ya parade ikagongwa nkauchek ule umat nilienda kujificha toilet had after parade.
2..siku nyingne nlichaguliwa kudebate nkajandaa fresh nkakarr points na maelezo ya kuunga unga ila mda wang wa kuprezend ulipofika nlismama ila cha kushangaza nilijikuta naxma "i was not prepared the chairman didnt inform m b4"
3..hi ni ya headmaster we2 pale maguful hgh xul wakat anawadai wanafunz michango ya ada ambao hawajakamilsha alixma hv "your parents gives you moneney and you corrupt to sister sistr there street to sleep with them" akimanisha wazaz wanawapa pesa mnawahonga mabint mtaan
 
Daaa kingereza nomaa xan eeeeet mkuuu lkn aiseee ndio ninakukukubali maaan kingerez. Kwet nixhida xanaaa
 
Back
Top Bottom