Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hizo maksi 10 ungesema 'potelea mbali, acha nizikose tu' kuliko kuadhirika mbele ya watu?
Mnanichekesha kweli leo!
Ha ha haa kwamba kilevi kilikata katikatiKuna mmoja alikunywa sijui nini, wakati huo kulikuwa hakuna viroba kaanza fresh katikati kaanza kutupia kichaga, hata lecturer alikauka kwa kucheka
Had kamkoje ew mkali unamaaanixh nati zimexha tred zile zakweny kibofu duuuuuuHahahaaa......nimecheka mpaka kamkojo kamenitoka.
Acha uongo umechek huku umenuna hivy au ck hiz kunadizani nyingin ya kuchek , unachekea tumbon silent duuuuiuu we mkali mkuúuHahah humu nimecheka hatari