Siku ya kwanza kupigwa ban ulijisikiaje?

Siku ya kwanza kupigwa ban ulijisikiaje?

Nimekula Ban 3 mwaka jana,

Ya kwanza niliipata kwenye uzi wa Le mutuz, baada ya kumquote comment yake nikamtania Mods wakalala mbele na kichwa changu.

Ya pili kwenye jukwaa la Siasa kipindi cha vuguvugu la Lisu alipopigwa risasi, niliipata kwenye uzi wa Chabruma baada ya kutaja jina fulani.

Ya tatu kwenye jukwaa la MMU, nilikuwa najibizana na kapeace, soga zilinoga tukatoka nje ya mada, Mods wakalala mbele na vichwa vyetu mimi na Kapeace.

Ban 2 za mwanzo zilikuwa za siku 5 zote.

Ban ya 3 ilikuwa ya siku 3.

Mwaka huu bado sijapata Ban na najitahidi nisiipate labda iwe kwa bahati mbaya.
Mkuu nimepigwa Ban ila sijajua lini mwisho wake najaribu kutazama kwenye account yangu sioni mwisho wa Ban yangu, Vipi naweza kupata kujua vipi?
 
Nimekula Ban 3 mwaka jana,

Ya kwanza niliipata kwenye uzi wa Le mutuz, baada ya kumquote comment yake nikamtania Mods wakalala mbele na kichwa changu.

Ya pili kwenye jukwaa la Siasa kipindi cha vuguvugu la Lisu alipopigwa risasi, niliipata kwenye uzi wa Chabruma baada ya kutaja jina fulani.

Ya tatu kwenye jukwaa la MMU, nilikuwa najibizana na kapeace, soga zilinoga tukatoka nje ya mada, Mods wakalala mbele na vichwa vyetu mimi na Kapeace.

Ban 2 za mwanzo zilikuwa za siku 5 zote.

Ban ya 3 ilikuwa ya siku 3.

Mwaka huu bado sijapata Ban na najitahidi nisiipate labda iwe kwa bahati mbaya.
pole sana ..Mungu aniepushe na ban ..maana nikiacha kuingia jf huwa najihisi arosto mixer uchizi
 
naona sasa mnawachokoza mods hahaaa
Hahaha! Sijatukana mtu! Ila nimemwambia tu ukweli kuwa amekuwa toggled toka jinsia aliyozaliwa na kuwekewa aliyonayo sasa! Hivyo nimenawa mikono mapema kabisa sijaanza mimi uchokozi.
 
Hahaha! Sijtukana mtu! Ila nimemwambia tu ukweli kuwa amekuwa toggled toka jinsia aliyozaliwa na kuwekewa aliyonayo sasa! Hivyo nimenawa mikono mapema kabisa sijaanza mimi uchokozi.
hahaaaa kwani wanajuaga nani kaanza uchokozi wao wanachojuaga ni kutoa ban tu kama refa anavyojua kupuliza kipyenga
 
Back
Top Bottom