Nimekula Ban 3 mwaka jana,
Ya kwanza niliipata kwenye uzi wa Le mutuz, baada ya kumquote comment yake nikamtania Mods wakalala mbele na kichwa changu.
Ya pili kwenye jukwaa la Siasa kipindi cha vuguvugu la Lisu alipopigwa risasi, niliipata kwenye uzi wa Chabruma baada ya kutaja jina fulani.
Ya tatu kwenye jukwaa la MMU, nilikuwa najibizana na kapeace, soga zilinoga tukatoka nje ya mada, Mods wakalala mbele na vichwa vyetu mimi na Kapeace.
Ban 2 za mwanzo zilikuwa za siku 5 zote.
Ban ya 3 ilikuwa ya siku 3.
Mwaka huu bado sijapata Ban na najitahidi nisiipate labda iwe kwa bahati mbaya.