[emoji2] [emoji2] vp unahitaji upate ladha ya ban mkuu?Nimejiunga mwaka 2014 mpaka leo hii sijawahi kupigwa ban
We c wa nchi hii tupe visa36 mkuu
Nmezaliwa kati kati kabisa ya nchi ( sio mpakani wala pembezoni ) then unaniambia sio wa nchi hii!!!![emoji1] [emoji1]We c wa nchi hii tupe visa
Sitaki hata kuiskia na hata mtu akinijibu hovyo huwa namjibu tu, shukrani ubarikiwe na hata akinijibu vizuri namjibu hivyo ubarikiwe coz huwa sipendi mabishano naogopa kumjibu mtu hovyo halafu nikapewa ban[emoji2] [emoji2] vp unahitaji upate ladha ya ban mkuu?
Ungekuwa na post kama zangu na kutopata BAN ingependeza sana, sasa unapost chache jambo ambalo linaonesha huwa huchangii mijadala mara kwa mara na huwezi kupata makosa kwa huo utoro kwenye mijadala.Nimejiunga mwaka 2014 mpaka leo hii sijawahi kupigwa ban
Mijadala ya jukwaa la siasa nadhani ndiyo inaongoza kwa kupatia watu ban. Huko watu huhemka sana hasa ligi ya mafisi vs manyumbu aka Lumumba vs. Ufipa ikianza. Siku hizi mi nakwenda huko kwa nadra na nikiona moto umeanza kuwaka nasepa zangu kimya kimya..Ungekuwa na post kama zangu na kutopata BAN ingependeza sana, sasa unapost chache jambo ambalo linaonesha huwa huchangii mijadala mara kwa mara na huwezi kupata makosa kwa huo utoro kwenye mijadala.
Hongera kwa kwa kutopata BAN kwa muda mrefu
Kweli,Mijadala ya jukwaa la siasa nadhani ndiyo inaongoza kwa kupatia watu ban. Huko watu huhemka sana hasa ligi ya mafisi vs manyumbu aka Lumumba vs. Ufipa ikianza. Siku hizi mi nakwenda huko kwa nadra na nikiona moto umeanza kuwaka nasepa zangu kimya kimya..
Ppole sana kuvaa sare la gereza la jfMi nilikula ban ya kipuuzi sana. Ilikuwa kule JF doctor zamani kidogo. Jamaa mmoja aliweka uzi akisema kuwa anahisi ana gonjwa la zinaa ila hajui ni gonjwa gani. Akasema dushe lake linatoa usaha na lina madonda na anaogopa kuwa hali ile ikiendelea vile dushe litaweza kudondoka. Basi jamaa wakaanza kuweka picha za magonjwa mbalimbali za madushe yaliyoathiriwa na magonjwa ya zinaa kwa kudhani kuwa kwa vile ilikuwa ni katika muktadha wa medicine ilikuwa sawa. Mi na kimbele mbele changu nikapakua picha kutoka katika medical journal kabisa zikionyesha aina mbalimbali za magonjwa ya zinaa ili jamaa ang'amue ni aina ipi alikuwa nayo. Muda si muda nikaona ile nembo ya kutisha "Banned". Na wote waliokuwa wameweka picha nao wakalimwa ban pia. Siku tatu nzima sikuweza kuingia humu. Mods hawakupi hata onyo aise ukiwatibua ni ban tu kwa kwenda mbele !!!
Kwa hizo ban 35Nmezaliwa kati kati kabisa ya nchi ( sio mpakani wala pembezoni ) then unaniambia sio wa nchi hii!!!![emoji1] [emoji1]
Hongera sanaTangu nijiunge 2009 sijapata ban.
Ndo ilikuwa ban yangu ya kwanza ukweli nilijisikia ovyo sana maana kosa halikustahili adhabu hiyo, baada ya wiki nikapewa ingine tena nikagundua mods ni washenzi tu km wanafiki wengine na wakisoma hapa wanipe ban nyingine na tangu hapo walinimaliza kiherehere humu kwa sasa naingia kwa kunyata then najisepea kimya kimya na sifungui akaunti nyingine km wengine wafanyavyoNimekula Ban 3 mwaka jana,
Ya kwanza niliipata kwenye uzi wa Le mutuz, baada ya kumquote comment yake nikamtania Mods wakalala mbele na kichwa changu.
Ya pili kwenye jukwaa la Siasa kipindi cha vuguvugu la Lisu alipopigwa risasi, niliipata kwenye uzi wa Chabruma baada ya kutaja jina fulani.
Ya tatu kwenye jukwaa la MMU, nilikuwa najibizana na kapeace, soga zilinoga tukatoka nje ya mada, Mods wakalala mbele na vichwa vyetu mimi na Kapeace.
Ban 2 za mwanzo zilikuwa za siku 5 zote.
Ban ya 3 ilikuwa ya siku 3.
Mwaka huu bado sijapata Ban na najitahidi nisiipate labda iwe kwa bahati mbaya.
Kuna mods baadhi wanatuibukia pm na maneno ya shombo halafu anakutafutia ban na anakuzawadia kweli hiyo ban ukitoka jela unakuwa konkodi na mvuto wa jf unapungua sana itawaharibia sana hii wasipojirekebishaPole sana mkuu kwa kuhunduria jela mara tatu.. Ila hii adhabu hufanya wengi kufungua a/c na kujidai watu wasiojulikana kuja kuattack watu... kapeace wangempa hata adhabu ya kutochangia uzi siku kadhaa ila sio kuwa banned
Labda hauna uadui na mtu... Uwe unapita tu.Sijawahi pigwa ban wala haitakuja tokea kitu kama hiko!!
Duh nan huyo?Amini usiamini huu mjadala utafungwa kwa MTU kula BANN [emoji23][emoji23][emoji23][emoji188][emoji188][emoji188][emoji188][emoji188]