Principal Focus
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 925
- 550
- Thread starter
- #81
Pole sana... Nadhani njia bora ni kuwashtaki kwa boss wao watajirekebisha.Kuna mods baadhi wanatuibukia pm na maneno ya shombo halafu anakutafutia ban na anakuzawadia kweli hiyo ban ukitoka jela unakuwa konkodi na mvuto wa jf unapungua sana itawaharibia sana hii wasipojirekebisha