Principal Focus
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 925
- 550
Habari wana JF!
Siku yangu ya kwanza kupigwa ban ama kuwa banned ilikua ni mwaka huu tangu nijiunge toka 2013, basi mwak huu nimetumikia jela ya jamiiforums.
Siku hiyo niliona watu wanafukua makaburi kwenye uzi wangu nikaona mbona wanaongelea kwa tafsiri ya sasa kwa kitu cha 2013, nikaona isiwe tabu ngoja nibadili ujumbe uliopo kwenye thread kisha nikajipeleka mwenyewe kituo kama vile muhalifu anavyojipeleka polisi, ingawa hua naona kwenye movies tu mtuhumiwa anajipeleka mwenyewe basi sie wa kusoma subtitle tuonaona " turn in" ndo na mimi siku hiyo nikajipeleka mwenyewe ku-report thread haina maana.
Basi bila kujua hili wala lie kama masaa mawili kupita sijui hata kesi ilisikilizwa saa ngapi bila mimi kujua nakutana na hukumu tu "umepigwa ban la siku tatu kwa kosa la kuweka thread yenye a.b.c".
Dah hapo nikawaza ndo nakosa kusoma stori za akina Shunie na Money Penny. Siku hizo za kuwa gerezani niliumia sana, jao kuna wengine humu mmeshaona kuwa banned ni kawaida sawa na kula polisi kila siku na kutoka.
Embu sasa tupe uzoefu wako wa kuwa banned siku ya kwanza.Tuseme victims au wahanga wa ban siku ya kwanza ilikuaje na ulijisikiaje?
Siku yangu ya kwanza kupigwa ban ama kuwa banned ilikua ni mwaka huu tangu nijiunge toka 2013, basi mwak huu nimetumikia jela ya jamiiforums.
Siku hiyo niliona watu wanafukua makaburi kwenye uzi wangu nikaona mbona wanaongelea kwa tafsiri ya sasa kwa kitu cha 2013, nikaona isiwe tabu ngoja nibadili ujumbe uliopo kwenye thread kisha nikajipeleka mwenyewe kituo kama vile muhalifu anavyojipeleka polisi, ingawa hua naona kwenye movies tu mtuhumiwa anajipeleka mwenyewe basi sie wa kusoma subtitle tuonaona " turn in" ndo na mimi siku hiyo nikajipeleka mwenyewe ku-report thread haina maana.
Basi bila kujua hili wala lie kama masaa mawili kupita sijui hata kesi ilisikilizwa saa ngapi bila mimi kujua nakutana na hukumu tu "umepigwa ban la siku tatu kwa kosa la kuweka thread yenye a.b.c".
Dah hapo nikawaza ndo nakosa kusoma stori za akina Shunie na Money Penny. Siku hizo za kuwa gerezani niliumia sana, jao kuna wengine humu mmeshaona kuwa banned ni kawaida sawa na kula polisi kila siku na kutoka.
Embu sasa tupe uzoefu wako wa kuwa banned siku ya kwanza.Tuseme victims au wahanga wa ban siku ya kwanza ilikuaje na ulijisikiaje?