Siku ya kwanza kupigwa ban ulijisikiaje?

Siku ya kwanza kupigwa ban ulijisikiaje?

Sawa.
Ila nilichokigundua humu JF sijui ni majukumu mengi au ....

Mods hawashiriki kabisa mijadala tofauti na Mods kwenye forum zingine.

Forums zingine tena kubwa kuliko JF Mods wanapiga kazi na kujadili na watu wengine kama kawaida sio kama Mods wetu hapa wao ni kutoa ufafanuzi kidogo tu then mengine waayafanya kimya kimya.
they are great thinkers ujue ndo maana nataka nijiunge nao soon kama nitapata nafasi
cjui application zao zinafanywaje kwa kweli ila I will find out

teh teh
 
Toka nimejiunga JF miaka mingi iliyopita sijawahi kupigwa ban kwakuwa nipo very smart.

Try me
 
Ukitaa zaidi mtafute huyo🙁😡😎😕😕😕😕😎😎😎😎😀😀😀😀😀
KAPEACE rafiki yangu atanimalizia
asante kwa hinti umenisaidia. unajua umbea nao ni kazi eeeeehhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
haki vile

teh teh
na upate umbea unaomsifia tajiri utakula kwa raha sana hapa maana wanapenda sifa sifa
Moja ya kitu kilichonishinda kumsifia mtu hata kama amekosea.... Hiyo kazi ya kinafki inipite mbali kabisa.... Siwezi side na uongo....
 
Back
Top Bottom