luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwananchiiiiyes hukujua hilo? 10,000 kubwa sana jamani walibugi hapo , 5000 ingekuwa fair sana
Walitaka kumrudisha pesa ya usajili wa azizayes hukujua hilo? 10,000 kubwa sana jamani walibugi hapo , 5000 ingekuwa fair sana
Nimesikia hii habari ikitolewa na Mtangazaji wa E-FM, Abdulrazack Maji akisema jana aliona mageti hakifunguliwa ili mashabiki waingie bure
Hii ni AIBUUUUU
Sasa ww upo kwenu huko kazuramimba una shindana na waliokuwepo kiwanjaniKwaiyo sikuizi kama huna tiket unafunguliwa get uingie ukajaze uwanja!!!
Basi Simba mtaujaza uwanja mapema.
Sio kubwa kivile Unaweza kujaza uwanja kwa hiyo hiyo pesa ila walichokosea Yanga hawakufanya promo kubwayes hukujua hilo? 10,000 kubwa sana jamani walibugi hapo , 5000 ingekuwa fair sana
Walifanya promo mpaka na magari ya PR mitaa yakizunguka .....Sio kubwa kivile Unaweza kujaza uwanja kwa hiyo hiyo pesa ila walichokosea Yanga hawakufanya promo kubwa
Hivi unajuaga kabla ya siku ya mwananchi kuna kuwa na amsha amsha hata kwa sisi simba ila angalia ya mwaka huu imekuaje kubali kataa Yanga hawakufanya promo ya maana kulingana na viingilio walivyoweka kama anunua jezi ya 25000 anashindwa vipi kulia kiingilioWalifanya promo mpaka na magari ya PR mitaa yakizunguka .....