Siku ya mwisho CCM nisipowakuta Jehanamu, nitaweka pingamizi huko kwa Mungu

Siku ya mwisho CCM nisipowakuta Jehanamu, nitaweka pingamizi huko kwa Mungu

Bulelaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
1,342
Reaction score
3,247
Nitakuwa na maswali haya kwenye pingamizi langu huko akhera

Mwizi wa kura hastahili jehanamu?

Je mwizi wa kodi za wanachi, hasitahili Jehanamu?

Mdanganyaifu wa wananchi kuwa ataletea maendeleo badala yake anawaletea shubiri, hasitahili jehanam?

Mwizi wa rasilimali za Tanzania kupitia ufisadi hasutahili moto wa daima?

Matukio ya watu kutekwa chini ya utawala wake na watekaji kutokamatwa, huyu hasitahili moto?

Kwa mambo mfano wa hayo na mengine, nitaanzia wapi kuwapenda CCM kwa jinsi walivyowachosha wananchi kwa kuwaibia hata hicho kidogo kilicho chao?

Nitashangaa sana ikiwa ccm watapona na kutopigwa moto wa daima huko kwa God
 
Nitakuwa na maswali haya kwenye pingamizi langu huko akhera

Mwizi wa kura hastahili jehanamu?

Je mwizi wa kodi za wanachi, hasitahili Jehanamu?

Mdanganyaifu wa wananchi kuwa ataletea maendeleo badala yake anawaletea shubiri, hasitahili jehanam?

Mwizi wa rasilimali za Tanzania kupitia ufisadi hasutahili moto wa daima?

Matukio ya watu kutekwa chini ya utawala wake na watekaji kutokamatwa, huyu hasitahili moto?

Nitashangaa sana ikiwa ccm watapona na kutopigwa moto wa daima huko kwa God
SASA UNATEGEMEA UKUTANE NA MASHETANI WENZIO WA CHADEMA AU UNATAKA UKAWE PEKEYAKO HUKO?
 
IMG-20240827-WA0058.jpg
 
Rafiki yake shetani huyo
Na ndio maana huwa wanakufa vifo vya mateso sana hawa nyang'au ???
Hapa Tanzania Viongozi wa Xhama tawala huwa wanakufa kwa magonjwa yenye maumivu makali sana bora hata upinzani huwa wanakufa labda kwa ajali au kushambuliwa na kutekwa na Mapolisi hao moja kwa moja wanakuwa wana makazi yao ya starehe huko wanakoenda kabla ya wakati wao waliopangiwa kuondoka duniani kufika
 
Back
Top Bottom