Siku ya Nne sasa, KdF Navy yashindwa, Joho atimkia SA kutafuta msaada wa Wazamiaji

Siku ya Nne sasa, KdF Navy yashindwa, Joho atimkia SA kutafuta msaada wa Wazamiaji

Vitu kama hivi huna haja ya kupoteza mudda kuwaelimisha, unawaacha wairirike kama wanaopata raha ya nyeto.
Hayo maji eneo hilo ni 'zero visibility', nguvu nyingi zinatumika maana ni suala very complex, ukweli ni kwamba sisi ndio tuna jeshi bora la wanamaji ukanda huu, FACT, kitu kama hiki kingetendeka Bongo hata hawengeweza kufanya nusu ya tunachokifanya.
Hawa Watanzania wanaojisifia humu, nakumbuka mwaka jana ajali ya MV Nyerere walishindwa kuokoa manusura waliokua hawajafa, wakawateekeza kisha wakaenda kuopoa miili yao, na hata miili yenyewe hawakuopoa yoe, ikumbukwe ajali yenyewe ilikua hatua chache sana karibu na ufukweni
Tatizo mnajisifu sana halafu utendaji sifuri. Hapo ndio lilipo tatizo
 
Inachekesha sana..Kenya pamoja na mdomo mkubwa kwamba wana vifaa madhubuti wanaenda kutumia macho kutafuta Gari lililotumbukia baharini?
Hivi Vifaa vya Sonar/Echo location havipo? Alshabab wakiamua kutega bomu za baharini mtafanya nini?
 
Hata Wazungu wa Sweden walishindwa. The expedition is complex and I see no African navy that would have recovered the body.
Vitu kama hivi huna haja ya kupoteza mudda kuwaelimisha, unawaacha wairirike kama wanaopata raha ya nyeto.
Hayo maji eneo hilo ni 'zero visibility', nguvu nyingi zinatumika maana ni suala very complex, ukweli ni kwamba sisi ndio tuna jeshi bora la wanamaji ukanda huu, FACT, kitu kama hiki kingetendeka Bongo hata hawengeweza kufanya nusu ya tunachokifanya.
Hawa Watanzania wanaojisifia humu, nakumbuka mwaka jana ajali ya MV Nyerere walishindwa kuokoa manusura waliokua hawajafa, wakawateekeza kisha wakaenda kuopoa miili yao, na hata miili yenyewe hawakuopoa yoe, ikumbukwe ajali yenyewe ilikua hatua chache sana karibu na ufukweni
Acheni ujinga mlishindwa kuchukua hatua wakati sahihi na kusababisha kazi kuwa ngumu hao wa sweden ni janja tu yaserikali yenu kujisafisha hiyo Gari imezama sehemu fupi sana
 
Back
Top Bottom