Siku ya UKIMWI Duniani: Ushuhuda wangu

Siku ya UKIMWI Duniani: Ushuhuda wangu

Dr am 4 real PhD

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
11,640
Reaction score
24,066
Tunaitazama dunia katika Angle tofauti tofauti. Bado ni tishio kuu mpaka sasa ulimwenguni. Siku hizi matangazo na campaigns zimepunguzwa sanaa. Wapo walio survive long more than 20 years na ukionyeshwa huwezi watambua kwa macho.

Wapo watoto wabichi. Vijana wa mjini wana waita "PISI" kali. Kwa bahati mbaya walizaliwa na virusi. Na wengine wamefika mbali hadi ELIMU za juu mpaka vyuo vikuu. Ukiwaona wapo vizuri Sana huwezi kuzani wameathirika.

KWA mtazamo wangu UKIMWI unabakia Kama "casual burning" Maana una sambaa kwa kasi Sana katika jamii. Jamii HAINA hofu yeyote Tena Kama kile kipindi cha MIAKA ya 90's

Serikali na NG'O zimepunguza Sana Kampeni za UKIMWI. Pia zimepunguza kutoa ELIMU KWA VIJANA. Siku izi hata upatikanaji wa condom kwenye baadhi ya maeneo (sio yote) Ni shida. Kuna muda ziliadimika Sana na hata bei zake hazikamatiki.

NIWATAKIE KHERI YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI

Wasalaam
 
Kuanzia 2008 ARV’s zimekua na nguvu sana ya kupigana ná Ukimwi. Zamani watu afya walisisitiza muathirika kutumia condom wakati wa kujamiiana. Lakini siku hizi muathirika anaetumia dawa uwezo wake wa kusambazs virusi ni mdogo sana.

Tatizo lililopo kwenye jamii ni waathirika wasiojitambua. Kutokana na uhamasishaji kupungua, waathirika wengi wanagundulika wakiwa ni wagonjwa mahututi na wamesha usambaza vya kutosha.
 
Ukimwi upo Na ni ugonjwa unao uwa
Ukimwi bado ni hatari sana kuliko hata corona, tuache ngino ,
Maambukizi yapo sana Kwa vijana kati ya umri wa miaka 18 -25 wavulana/wasichana
Ugonjwa ambao ukiupata Leo unakufa after 20 to 30 years ni hatari? UKIMWI ni mradi wa mabilionea kutengeneza pesa kupitia condom na Arv. Kilichofanyika miaka ya 90 inawezekana ni demonstration. Na corona inawezekana ni plan B baada ya UKIMWI kufikia tamati.
 
Ugonjwa ambao ukiupata Leo unakufa after 20 to 30 years ni hatari? UKIMWI ni mradi wa mabilionea kutengeneza pesa kupitia condom na Arv. Kilichofanyika miaka ya 90 inawezekana ni demonstration. Na corona inawezekana ni plan B baada ya UKIMWI kufikia tamati.

Ukimwi bado ni ugonjwa unao tisha sana kuliko magonjwa mengine maaana mtu anaweza kukubali kupimwa korona bila woga kuliko ukimwi. Watu wengi bado ni wana uoga kupima ukimwi kutokqna Na ugonjwa wenyewe kutisha na kutisha.
Ukimwi hauna chanjo wala Kinga, tuache ngono
 
Kama huamini kama ukimwi ni ugonjwa hatari sana na unao tisha duniani wewe angalia tu wanao jitangaza kuwa wanaishi na ukimwi ni wachache kuliko wanao jificha, angalia ugonjwa wa korona kila mtu anajisikia huru kujitangaza kuwa ana ukimwi ,
Ukimwi una ua tujikinge ni ugonjwa hatari sana
 
Ukimwi bado ni ugonjwa unao tisha sana kuliko magonjwa mengine maaana mtu anaweza kukubali kupimwa korona bila woga kuliko ukimwi. Watu wengi bado ni wana uoga kupima ukimwi kutokqna Na ugonjwa wenyewe kutisha na kutisha.
Ukimwi hauna chanjo wala Kinga, tuache ngono
Ukimwi hautishi, wafanyabiashara wakubwa duniani inawezekana wamepandikiza hiyo hali ya kutisha, nafahamu watu wanaishi na hivi virusi kwa miaka mingi, hakuna tishio lolote. Ni tatizo la saikolojia zaidi kuliko uhalisia. Na Sababu kubwa ya kuogopwa kuliko corona ni umri wake na nguvu iliyotumika kutengeneza hofu ili kuuza condom na biashara ya Arv.

Kansa ndo inawezekana kuwa ni ugonjwa tishio zaidi lakini huambiwi sababu utaacha kutumia vyakula vya viwandani na biashara itapotea. Kila kitu kwenye hii dunia ni biashara.

Narudia, naamini UKIMWI SI TISHIO ni ugonjwa ulioanzishwa kibiashara zaidi na sasa unaoelekea tamati, sidhani kama kuna miaka 20-30 mbele bila kuutokomeza. NAKUBALIANA NA WW KUHUSU NGONO, NI KINYUME CHA MAPENZI YA MUNGU.
 
Kama huamini kama ukimwi ni ugonjwa hatari sana na unao tisha duniani wewe angalia tu wanao jitangaza kuwa wanaishi na ukimwi ni wachache kuliko wanao jificha, angalia ugonjwa wa korona kila mtu anajisikia huru kujitangaza kuwa ana ukimwi ,
Ukimwi una ua tujikinge ni ugonjwa hatari sana
Sababu si kutisha kwa ugonjwa, sababu ni unavyopatikana. Hata wanawake wangeweza kuficha mimba wangeficha wengi. Binadamu esp huku Africa ni viumbe ambao matendo kama kunya, kujamba, kufanya ngono ni vitendo vya sirini sana. Ushahidi kuwa umefanya hayo kwetu ni aibu na hatutaki. Kuna jamii Africa watoto walikuzwa wakiaminishwa wanaume hawanyi, na wanaume walijificha sana wakifanya hilo tendo.
 
Back
Top Bottom