Siku ya UKIMWI Duniani: Ushuhuda wangu

Siku ya UKIMWI Duniani: Ushuhuda wangu

Ukimwi bado ni ugonjwa unao tisha sana kuliko magonjwa mengine maaana mtu anaweza kukubali kupimwa korona bila woga kuliko ukimwi. Watu wengi bado ni wana uoga kupima ukimwi kutokqna Na ugonjwa wenyewe kutisha na kutisha.
Ukimwi hauna chanjo wala Kinga, tuache ngono
Sasa mkuu tuache ngono afu tufanye nini? Labda useme tuache ngono zembe mkuu sex pia ni basic need.
 
Kama huamini kama ukimwi ni ugonjwa hatari sana na unao tisha duniani wewe angalia tu wanao jitangaza kuwa wanaishi na ukimwi ni wachache kuliko wanao jificha, angalia ugonjwa wa korona kila mtu anajisikia huru kujitangaza kuwa ana ukimwi ,
Ukimwi una ua tujikinge ni ugonjwa hatari sana
Kila mtu anajisikia huru kujitangaza kuwa Ana corona
 
Mioyo ya wengi imebeba mengi Sana....

All in all mungu atupe mwisho mwemaa

Sijajua Kama hizi hair cutting salon Zina weza ku transmit virus....

Nakumbuka MIAKA ya nyuma hivyo vifaa vilikua vina be warmed...
 
Tunaitazama dunia katika Angle tofauti tofauti. Bado ni tishio kuu mpaka sasa ulimwenguni. Siku hizi matangazo na campaigns zimepunguzwa sanaa. Wapo walio survive long more than 20 years na ukionyeshwa huwezi watambua kwa macho.

Wapo watoto wabichi. Vijana wa mjini wana waita "PISI" kali. Kwa bahati mbaya walizaliwa na virusi. Na wengine wamefika mbali hadi ELIMU za juu mpaka vyuo vikuu. Ukiwaona wapo vizuri Sana huwezi kuzani wameathirika.

KWA mtazamo wangu UKIMWI unabakia Kama "casual burning" Maana una sambaa kwa kasi Sana katika jamii. Jamii HAINA hofu yeyote Tena Kama kile kipindi cha MIAKA ya 90

Serikali na NG'O zimepunguza Sana Kampeni za UKIMWI. Pia zimepunguza kutoa ELIMU KWA VIJANA. Siku izi hata upatikanaji wa condom kwenye baadhi ya maeneo (sio yote) Ni shida. Kuna muda ziliadimika Sana na hata bei zake hazikamatiki.

NIWATAKIE KHERI YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI

Wasalaam
Aaah! Condom wanatumia bao la moja tu, yanayo endelea wanajisahau wanapiga nyama nyama
 
Tunaitazama dunia katika Angle tofauti tofauti. Bado ni tishio kuu mpaka sasa ulimwenguni. Siku hizi matangazo na campaigns zimepunguzwa sanaa. Wapo walio survive long more than 20 years na ukionyeshwa huwezi watambua kwa macho.

Wapo watoto wabichi. Vijana wa mjini wana waita "PISI" kali. Kwa bahati mbaya walizaliwa na virusi. Na wengine wamefika mbali hadi ELIMU za juu mpaka vyuo vikuu. Ukiwaona wapo vizuri Sana huwezi kuzani wameathirika.

KWA mtazamo wangu UKIMWI unabakia Kama "casual burning" Maana una sambaa kwa kasi Sana katika jamii. Jamii HAINA hofu yeyote Tena Kama kile kipindi cha MIAKA ya 90

Serikali na NG'O zimepunguza Sana Kampeni za UKIMWI. Pia zimepunguza kutoa ELIMU KWA VIJANA. Siku izi hata upatikanaji wa condom kwenye baadhi ya maeneo (sio yote) Ni shida. Kuna muda ziliadimika Sana na hata bei zake hazikamatiki.

NIWATAKIE KHERI YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI

Wasalaam
1 Dec
 
Mkuu sasa iv ni bora uone kila demu kaungua tu , huo ugonjwa usikie tu.
All in all Kuna ambao wameweza ku cope with the situation na wapo vizuri yaan huwezi kudhani.......

Ukiwa masikini ndio unapata hofu na woga mwisho wa siku unakufa kabla ya siku zako...

Wapo walio kubali hali na wana survive very Long...
 
All in all Kuna ambao wameweza ku cope with the situation na wapo vizuri yaan huwezi kudhani.......

Ukiwa masikini ndio unapata hofu na woga mwisho wa siku unakufa kabla ya siku zako...

Wapo walio kubali hali na wana survive very Long...
Mkuu Acha maneno ya kuji fariji UKIMWI haufai mtu kuwa nao ni basi tu .
 
Huyu mdudu alichukua maisha ya wengi( zaidi innocent souls watoto wanawake Wanaume)
Huu ugonjwa usikie kwa jirani omba sana usiifikie nyumba yako au ukoo wako.

Sijui kwa nini Mungu aliruhusu hili !

Roho zao wengi zipumzike kwa Amani!
 
Back
Top Bottom