Sasa mkuu tuache ngono afu tufanye nini? Labda useme tuache ngono zembe mkuu sex pia ni basic need.Ukimwi bado ni ugonjwa unao tisha sana kuliko magonjwa mengine maaana mtu anaweza kukubali kupimwa korona bila woga kuliko ukimwi. Watu wengi bado ni wana uoga kupima ukimwi kutokqna Na ugonjwa wenyewe kutisha na kutisha.
Ukimwi hauna chanjo wala Kinga, tuache ngono
Ukimwi hauna chanjo wala Kinga,
Kila mtu anajisikia huru kujitangaza kuwa Ana coronaKama huamini kama ukimwi ni ugonjwa hatari sana na unao tisha duniani wewe angalia tu wanao jitangaza kuwa wanaishi na ukimwi ni wachache kuliko wanao jificha, angalia ugonjwa wa korona kila mtu anajisikia huru kujitangaza kuwa ana ukimwi ,
Ukimwi una ua tujikinge ni ugonjwa hatari sana
Aaah! Condom wanatumia bao la moja tu, yanayo endelea wanajisahau wanapiga nyama nyamaTunaitazama dunia katika Angle tofauti tofauti. Bado ni tishio kuu mpaka sasa ulimwenguni. Siku hizi matangazo na campaigns zimepunguzwa sanaa. Wapo walio survive long more than 20 years na ukionyeshwa huwezi watambua kwa macho.
Wapo watoto wabichi. Vijana wa mjini wana waita "PISI" kali. Kwa bahati mbaya walizaliwa na virusi. Na wengine wamefika mbali hadi ELIMU za juu mpaka vyuo vikuu. Ukiwaona wapo vizuri Sana huwezi kuzani wameathirika.
KWA mtazamo wangu UKIMWI unabakia Kama "casual burning" Maana una sambaa kwa kasi Sana katika jamii. Jamii HAINA hofu yeyote Tena Kama kile kipindi cha MIAKA ya 90
Serikali na NG'O zimepunguza Sana Kampeni za UKIMWI. Pia zimepunguza kutoa ELIMU KWA VIJANA. Siku izi hata upatikanaji wa condom kwenye baadhi ya maeneo (sio yote) Ni shida. Kuna muda ziliadimika Sana na hata bei zake hazikamatiki.
NIWATAKIE KHERI YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI
Wasalaam
Haahaa kuna wanao sema ukimwi ni nightmare....nyama kwa nyama mpaka kojo
1 DecTunaitazama dunia katika Angle tofauti tofauti. Bado ni tishio kuu mpaka sasa ulimwenguni. Siku hizi matangazo na campaigns zimepunguzwa sanaa. Wapo walio survive long more than 20 years na ukionyeshwa huwezi watambua kwa macho.
Wapo watoto wabichi. Vijana wa mjini wana waita "PISI" kali. Kwa bahati mbaya walizaliwa na virusi. Na wengine wamefika mbali hadi ELIMU za juu mpaka vyuo vikuu. Ukiwaona wapo vizuri Sana huwezi kuzani wameathirika.
KWA mtazamo wangu UKIMWI unabakia Kama "casual burning" Maana una sambaa kwa kasi Sana katika jamii. Jamii HAINA hofu yeyote Tena Kama kile kipindi cha MIAKA ya 90
Serikali na NG'O zimepunguza Sana Kampeni za UKIMWI. Pia zimepunguza kutoa ELIMU KWA VIJANA. Siku izi hata upatikanaji wa condom kwenye baadhi ya maeneo (sio yote) Ni shida. Kuna muda ziliadimika Sana na hata bei zake hazikamatiki.
NIWATAKIE KHERI YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI
Wasalaam
ndege JOHNAisee na Cha ajabu piss Kali hazitaki condom kwa madai zinawaumiza
Ikitokea umeuza mechi gafla unaanza kukosa raha ukipata homa mawazo kede kede ππNi hatari sana , siku hizi najikita na mazoezi ya mwili tu , kila pisi naona kama imeungua ivi.
Sio pisi umeiokota unakurupukia dry majuto ni mjukuu.....Kavu tamu
Mkuu sasa iv ni bora uone kila demu kaungua tu , huo ugonjwa usikie tu.Ikitokea umeuza mechi gafla unaanza kukosa raha ukipata homa mawazo kede kede ππ
All in all Kuna ambao wameweza ku cope with the situation na wapo vizuri yaan huwezi kudhani.......Mkuu sasa iv ni bora uone kila demu kaungua tu , huo ugonjwa usikie tu.
Mkuu Acha maneno ya kuji fariji UKIMWI haufai mtu kuwa nao ni basi tu .All in all Kuna ambao wameweza ku cope with the situation na wapo vizuri yaan huwezi kudhani.......
Ukiwa masikini ndio unapata hofu na woga mwisho wa siku unakufa kabla ya siku zako...
Wapo walio kubali hali na wana survive very Long...