Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #41
Leo ni siku ya Wanawake Duniani, Mimi Paskali wa Jeiefu, ninawatakia wanawake wote maadhimisho ya siku yao hii ya wanawake duniani wakiwemo wanawake hawa na Mwanamke huyu!.
Happy Women's Day all the beautiful ladies and the lovely ladies out there, na kwenye wanawake na siasa, nina Salaam zao Siku ya Wanawake: Baada ya Watanzania Kumchagua Rais Mwanamke, 2025, Je Tumchagulie na Wabunge na Wadiwani kufikia 50/50 kisha Tufute Viti Maalum?.
Paskali
Happy Women's Day all the beautiful ladies and the lovely ladies out there, na kwenye wanawake na siasa, nina Salaam zao Siku ya Wanawake: Baada ya Watanzania Kumchagua Rais Mwanamke, 2025, Je Tumchagulie na Wabunge na Wadiwani kufikia 50/50 kisha Tufute Viti Maalum?.
Paskali