Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi, Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia, kuna wanawake wengi wenye akili, uwezo, na utajiri. Je wanawake kumi ambao ni matajiri wakubwa Tanzania ni kina nani, utajiri wao nini, na umetokana na nini?.Sehemu ya kwanza kupiga hodi ni kwenye jarida la forbers!.
Huku sikukuta hata jina moja la mwanamke yoyote tajiri kutoka Tanzania!, hii maana yake, hatuna mwanamke yoyote tajiri mwenye viwango vya utajiri wa kimataifa, sio kwa sababu hawapo, matajiri wanawake wapo, ila they are not registered kwenye jarida la forbers!.
Ikitokea ni kijijini, wanawake wote wanamiliki nyumba za nyasi, mwanamke tajiri kuliko wote ni yule mwenye kumiliki nyumba ya bati!. Na ikitokea wanawake wote wanatembea kwa miguu, mwanamke tajiri, ni yule mwenye kumiliki baiskeli!.Hivyo kwa muktadha huo, jee top ten wanawake matajiri waTanzania ni kina nani?!.
Pasco.
Update 2024
No. 1 na No. 3 wametangulia mbele ya haki.
No. 2 hasikiki tena, utajiri umeshikiliwa na kaka Mtu, Mo Dewji.
No. 5, hasikiki kabisa!.
Sasa Position No. 1 inashikiliwa na Angelina Ngalula a self made bilionea mwenye Agrocom na Bravo Logistics.
P
Huku sikukuta hata jina moja la mwanamke yoyote tajiri kutoka Tanzania!, hii maana yake, hatuna mwanamke yoyote tajiri mwenye viwango vya utajiri wa kimataifa, sio kwa sababu hawapo, matajiri wanawake wapo, ila they are not registered kwenye jarida la forbers!.
Ikitokea ni kijijini, wanawake wote wanamiliki nyumba za nyasi, mwanamke tajiri kuliko wote ni yule mwenye kumiliki nyumba ya bati!. Na ikitokea wanawake wote wanatembea kwa miguu, mwanamke tajiri, ni yule mwenye kumiliki baiskeli!.Hivyo kwa muktadha huo, jee top ten wanawake matajiri waTanzania ni kina nani?!.
- Mercy Mengi-50% owner wa IPP Group of companies.
- Sabira Dewji-Binti wa Bilionea Gulam Dewji, mdogo wake Mo-Dewji.
- Dr. Getrude Rwakatare-Huyu ni mmiliki wa shule za St. Marys International Schools. Anamiliki prime lands karibu kila mkoa Tanzania. Source ya utajiri wake ni akili ya kutafuta ufadhili, akianzia na ujenzi wa kituo cha yatima Tabata.
- Rahma Al Kharoos, rais wa RBP OIL & INDUSTRIAL TECHNOLOGY (T) LIMITED.
- endelea.....
Pasco.
Update 2024
No. 1 na No. 3 wametangulia mbele ya haki.
No. 2 hasikiki tena, utajiri umeshikiliwa na kaka Mtu, Mo Dewji.
No. 5, hasikiki kabisa!.
Sasa Position No. 1 inashikiliwa na Angelina Ngalula a self made bilionea mwenye Agrocom na Bravo Logistics.
P