Siku ya Wanawake Duniani: Who Are The Top Ten Richest Women In Tanzania?!

Siku ya Wanawake Duniani: Who Are The Top Ten Richest Women In Tanzania?!

Anna Tibaijuka, bilionea na mmiliki wa shule za Babro Johnsson, shule za wasichana zenye ubora wa kimataifa, utajiri wake sijui kwa kweli kaupataje.

Lady Jay Dee, mwanamziki na mmiliki wa mgahawa maarufu wa MOG na bendi ya muziki, utajiri wake unatokana na shughuli zake za muziki, anatembelea gari aina ya range rover spot lenye thamani kubwa.

Wema Sepetu, mwigizaji maarufu na mtu anaengoza kuandikwa na magazeti ya shigongo, anajipatia utajiri kutokana na mauzo ya filamu na shughuli binafsi.

Lulu, nayeye yumo, ila sijui utajiri wake kaupataje.
Lulu na Jdee hawana utajiri wa billionea ni pesa za kulia bata tu.Mzee kuna matajiri hawajulikani.Tembea uone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi, Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia, kuna wanawake wengi wenye akili, uwezo, na utajiri. Je wanawake kumi ambao ni matajiri wakubwa Tanzania ni kina nani, utajiri wao nini, na umetokana na nini?.Sehemu ya kwanza kupiga hodi ni kwenye jarida la forbers!.

Huku sikukuta hata jina moja la mwanamke yoyote tajiri kutoka Tanzania!, hii maana yake, hatuna mwanamke yoyote tajiri mwenye viwango vya utajiri wa kimataifa, sio kwa sababu hawapo, matajiri wanawake wapo, ila they are not registered kwenye jarida la forbers!.

Ikitokea ni kijijini, wanawake wote wanamiliki nyumba za nyasi, mwanamke tajiri kuliko wote ni yule mwenye kumiliki nyumba ya bati!. Na ikitokea wanawake wote wanatembea kwa miguu, mwanamke tajiri, ni yule mwenye kumiliki baiskeli!.Hivyo kwa muktadha huo, jee top ten wanawake matajiri waTanzania ni kina nani?!.
  1. Mercy Mengi-50% owner wa IPP Group of companies.
  2. Sabira Dewji-Binti wa Bilionea Gulam Dewji, mdogo wake Mo-Dewji.
  3. Dr. Getrude Rwakatare-Huyu ni mmiliki wa shule za St. Marys International Schools. Anamiliki prime lands karibu kila mkoa Tanzania. Source ya utajiri wake ni akili ya kutafuta ufadhili, akianzia na ujenzi wa kituo cha yatima Tabata.
  4. Rahma Al Kharoos, rais wa RBP OIL & INDUSTRIAL TECHNOLOGY (T) LIMITED.
  5. endelea.....
Tuwapongeze wanawake hawa kwa utajiri wao ambao pia unachangia kwa ustawi na maendeleo ya taifa!.Pasco.
Leo ndio siku yenyewe ya wanawake duniani, hongera sana kwa wanawake wote duniani akiwemo Mwanamke huyu!.
P.
 
Wanabodi, Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia, kuna wanawake wengi wenye akili, uwezo, na utajiri. Je wanawake kumi ambao ni matajiri wakubwa Tanzania ni kina nani, utajiri wao nini, na umetokana na nini?.Sehemu ya kwanza kupiga hodi ni kwenye jarida la forbers!.

Huku sikukuta hata jina moja la mwanamke yoyote tajiri kutoka Tanzania!, hii maana yake, hatuna mwanamke yoyote tajiri mwenye viwango vya utajiri wa kimataifa, sio kwa sababu hawapo, matajiri wanawake wapo, ila they are not registered kwenye jarida la forbers!.

Ikitokea ni kijijini, wanawake wote wanamiliki nyumba za nyasi, mwanamke tajiri kuliko wote ni yule mwenye kumiliki nyumba ya bati!. Na ikitokea wanawake wote wanatembea kwa miguu, mwanamke tajiri, ni yule mwenye kumiliki baiskeli!.Hivyo kwa muktadha huo, jee top ten wanawake matajiri waTanzania ni kina nani?!.
  1. Mercy Mengi-50% owner wa IPP Group of companies.
  2. Sabira Dewji-Binti wa Bilionea Gulam Dewji, mdogo wake Mo-Dewji.
  3. Dr. Getrude Rwakatare-Huyu ni mmiliki wa shule za St. Marys International Schools. Anamiliki prime lands karibu kila mkoa Tanzania. Source ya utajiri wake ni akili ya kutafuta ufadhili, akianzia na ujenzi wa kituo cha yatima Tabata.
  4. Rahma Al Kharoos, rais wa RBP OIL & INDUSTRIAL TECHNOLOGY (T) LIMITED.
  5. endelea.....
Tuwapongeze wanawake hawa kwa utajiri wao ambao pia unachangia kwa ustawi na maendeleo ya taifa!.Pasco.
Huyo wa pili ana miliki nini?
 
Wanabodi, Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia, kuna wanawake wengi wenye akili, uwezo, na utajiri. Je wanawake kumi ambao ni matajiri wakubwa Tanzania ni kina nani, utajiri wao nini, na umetokana na nini?.Sehemu ya kwanza kupiga hodi ni kwenye jarida la forbers!.

Huku sikukuta hata jina moja la mwanamke yoyote tajiri kutoka Tanzania!, hii maana yake, hatuna mwanamke yoyote tajiri mwenye viwango vya utajiri wa kimataifa, sio kwa sababu hawapo, matajiri wanawake wapo, ila they are not registered kwenye jarida la forbers!.
Mimi Paskali wa Jeiefu, ninawatakia wanawake wote maandalizi mema ya siku yao ya wanawake duniani hapo kesho.
Paskali
 
Mimi Paskali wa Jeiefu, ninawatakia wanawake wote maandalizi mema ya siku yao ya wanawake duniani hapo kesho.
Paskali

Leo ni siku ya Wanawake Duniani, Mimi Paskali wa Jeiefu, ninawatakia wanawake wote maadhimisho ya siku yao hii ya wanawake duniani wakiwemo wanawake hawa na Mwanamke huyu!.
Happy Women's Day all the beautiful ladies and the lovely ladies out there, na kwenye wanawake na siasa, nina Salaam zao Siku ya Wanawake: Baada ya Watanzania Kumchagua Rais Mwanamke, 2025, Je Tumchagulie na Wabunge na Wadiwani kufikia 50/50 kisha Tufute Viti Maalum?.
Paskali
 
Mme
Leo ni siku ya Wanawake Duniani, Mimi Paskali wa Jeiefu, ninawatakia wanawake wote maadhimisho ya siku yao hii ya wanawake duniani wakiwemo wanawake hawa na Mwanamke huyu!.
Happy Women's Day all the beautiful ladies and the lovely ladies out there, na kwenye wanawake na siasa, nina Salaam zao Siku ya Wanawake: Baada ya Watanzania Kumchagua Rais Mwanamke, 2025, Je Tumchagulie na Wabunge na Wadiwani kufikia 50/50 kisha Tufute Viti Maalum?.
Paskali
Mmemsahau mama Salma Kikwete. Huyu ndiye billionaire wao.
 
Update 2024
No. 1 na No. 3 wametangulia mbele ya haki.
No. 2 hasikiki tena, utajiri umeshikiliwa na kaka Mtu, Mo Dewji.
No. 5, hasikiki kabisa!.
Sasa Position No. 1 inashikiliwa na Angelina Ngalula a self made bilionea mwenye Agrocom na Bravo Logistics.
P
 
Pasca muweke Angelina ngalula wa Bravo logistic na agricom

Anamiliki companies with more than 100 bilions revenues makisio tu
Thanks for ingizo hili
Update 2024
No. 1 na No. 3 wametangulia mbele ya haki.
No. 2 hasikiki tena, utajiri umeshikiliwa na kaka Mtu, Mo Dewji.
No. 5, hasikiki kabisa!.
Sasa Position No. 1 inashikiliwa na Angelina Ngalula a self made bilionea mwenye Agrocom na Bravo Logistics.
P
 
Pasca muweke Angelina ngalula wa Bravo logistic na agricom

Anamiliki companies with more than 100 bilions revenues makisio tu
Kumbe Makisio tu , huyu Angelina mwenye undugu na CDF mstaafu ameanza kuwika pindi Ndugu yake akiwa pale juu

Kiufupi amepigana Hadi kufika hapo , japo succession plan Hana sababu mtoto wake aliyezaa na Mzungu (Muitalia ) Bado mdogo na pia style yake ya management sio nzuri

NB: Ni jirani yangu Masaki
 
Kumbe Makisio tu , huyu Angelina mwenye undugu na CDF mstaafu ameanza kuwika pindi Ndugu yake akiwa pale juu

Kiufupi amepigana Hadi kufika hapo , japo succession plan Hana sababu mtoto wake aliyezaa na Mzungu (Muitalia ) Bado mdogo na pia style yake ya management sio nzuri

NB: Ni jirani yangu Masaki
Mkuu baro , kumbe huyu ni jirani yako !, unawajibu wa kuheshimu her right to privacy haya mambo ya kusema amezaa na nani, ni kuingilia her right to privacy yake.

Pili sii kweli ameanza kuwika baada ya CDF Msukuma kuwa pale.
Angalia hii video ni ya lini
View: https://youtu.be/eqsOtfCsiJI?feature=shared

P
 
Leo ni siku ya wanawake duniani, hizi ni salaam zangu za siku hii, Siku ya Wanawake Duniani: Wanawake Acheni Kubwetekea Kubebwa. Viti Maalumu ni Kubebwa, Je Tuvifute. Wanawake Mjibebe?, Au Mnapenda Uroda wa Kubebwa?.

Nawatakia wanawake wote wa TiZii
Heri ya siku ya Wanawake Duniani.

Tena, by the way, naombeni mnipe pole, tumempoteza mmoja wa wanawake muhimu sana kwenye maisha yangu, tumempoteza mama mzaa Chema wangu, ameitwa kwa Muumba wake, akiwa Babati, tunampumzisha kwenye makao yake ya milele siku ya Jumatatu katika kijiji cha Gendi kwenye malalo ya ukoo wao.


View: https://youtu.be/oezcYCl60OI?si=MI6vvCGOptf82N8b

RIP Mama MKwe wangu.

Paskali
 
Back
Top Bottom