Siku ya Wanawake Duniani: Who Are The Top Ten Richest Women In Tanzania?!

Siku ya Wanawake Duniani: Who Are The Top Ten Richest Women In Tanzania?!

Aaah wivu nao. Kidogo nimsahau Prof Anna Tibaijuka. Mwanamke mtanzania, msomi na mwanasiasa anaetumia mamilioni ya shilingi kununua mboga. No wonder ana ngozi nzuri sana.
"Ngozi" nzuri hapo unamaanisha nini king'asti??
 
Anna Tibaijuka, bilionea na mmiliki wa shule za Babro Johnsson, shule za wasichana zenye ubora wa kimataifa, utajiri wake sijui kwa kweli kaupataje.

Lady Jay Dee, mwanamziki na mmiliki wa mgahawa maarufu wa MOG na bendi ya muziki, utajiri wake unatokana na shughuli zake za muziki, anatembelea gari aina ya range rover spot lenye thamani kubwa.

Wema Sepetu, mwigizaji maarufu na mtu anaengoza kuandikwa na magazeti ya shigongo, anajipatia utajiri kutokana na mauzo ya filamu na shughuli binafsi.

Lulu, nayeye yumo, ila sijui utajiri wake kaupataje.



hahahah...u made my day eddy
 
Apo kwenye "shughuli binafsi" za wema sepetu pana maana kubwa sana,kimsingi ndo ambapo hoja yote imesimamia
 
Wanabodi, Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia, kuna wanawake wengi wenye akili, uwezo, na utajiri. Je wanawake kumi ambao ni matajiri wakubwa Tanzania ni kina nani, utajiri wao nini, na umetokana na nini?.Sehemu ya kwanza kupiga hodi ni kwenye jarida la forbers!.Huku sikukuta hata jina moja la mwanamke yoyote tajiri kutoka Tanzania!, hii maana yake, hatuna mwanamke yoyote tajiri mwenye viwango vya utajiri wa kimataifa, sio kwa sababu hawapo, matajiri wanawake wapo, ila they are not registered kwenye jarida la forbers!.Ikitokea ni kijijini, wanawake wote wanamiliki nyumba za nyasi, mwanamke tajiri kuliko wote ni yule mwenye kumiliki nyumba ya bati!. Na ikitokea wanawake wote wanatembea kwa miguu, mwanamke tajiri, ni yule mwenye kumiliki baiskeli!.Hivyo kwa muktadha huo, jee top ten wanawake matajiri waTanzania ni kina nani?!.
  1. Mercy Mengi-50% owner wa IPP Group of companies.
  2. Sabira Dewji-Binti wa Bilionea Gulam Dewji, mdogo wake Mo-Dewji.
  3. Dr. Getrude Rwakatare-Huyu ni mmiliki wa shule za St. Marys International Schools. Anamiliki prime lands karibu kila mkoa Tanzania. Source ya utajiri wake ni akili ya kutafuta ufadhili, akianzia na ujenzi wa kituo cha yatima Tabata.
  4. Rahma Al Kharoos, rais wa RBP OIL & INDUSTRIAL TECHNOLOGY (T) LIMITED.
  5. endelea.....
Tuwapongeze wanawake hawa kwa utajiri wao ambao pia unachangia kwa ustawi na maendeleo ya taifa!.Pasco.

Ingesaidia kama ungechukua vigezo vya forbers ili tuvitumie hapa. Pia kuna jarida moja hapa Tanzania (Bang Bang! Magazine.) linaongelea wanawake, je haliwezi kutoa mwanga kidogo kwenye kupata jibu la swali lako ingawaje limekaa ki-magharibi sana?!
 
Anna Tibaijuka, bilionea na mmiliki wa shule za Babro Johnsson, shule za wasichana zenye ubora wa kimataifa, utajiri wake sijui kwa kweli kaupataje.

Lady Jay Dee, mwanamziki na mmiliki wa mgahawa maarufu wa MOG na bendi ya muziki, utajiri wake unatokana na shughuli zake za muziki, anatembelea gari aina ya range rover spot lenye thamani kubwa.

Wema Sepetu, mwigizaji maarufu na mtu anaengoza kuandikwa na magazeti ya shigongo, anajipatia utajiri kutokana na mauzo ya filamu na shughuli binafsi.

Lulu, nayeye yumo, ila sijui utajiri wake kaupataje.

Chanzo kikuu cha mapato ni PAPUCHI yake anaitumia ipasavyo
 
Kuna mama mmoja (jina limenitoka) anamiliki kampuni kubwa ya uwakili ipo maeneo ya Upanga karibu na hospital ya Tumain, ana hela ndefu...kuna kipindi aliomba kununua jengo la INTERNATIONAL HOUSE pale Posta mtaa wa Garden linalomilikiwa na Mitsubishi!
 
Mimi huwa napata shida nikisikia haki sawa, naamini kila mtu anajukumu lake ila baadhi yanaingiliana mfano usawa katika elimu. Yapo mengine hayapaswi kwa mwanamke au mwanaume hasa ya kibailojia au maumbile.
Nadhani kauli mbiu ingekuwa, mwanamke timiza wajibu wako ipasavyo.
 
Wanabodi, Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia, kuna wanawake wengi wenye akili, uwezo, na utajiri. Je wanawake kumi ambao ni matajiri wakubwa Tanzania ni kina nani, utajiri wao nini, na umetokana na nini?.Sehemu ya kwanza kupiga hodi ni kwenye jarida la forbers!.

Huku sikukuta hata jina moja la mwanamke yoyote tajiri kutoka Tanzania!, hii maana yake, hatuna mwanamke yoyote tajiri mwenye viwango vya utajiri wa kimataifa, sio kwa sababu hawapo, matajiri wanawake wapo, ila they are not registered kwenye jarida la forbers!.

Ikitokea ni kijijini, wanawake wote wanamiliki nyumba za nyasi, mwanamke tajiri kuliko wote ni yule mwenye kumiliki nyumba ya bati!. Na ikitokea wanawake wote wanatembea kwa miguu, mwanamke tajiri, ni yule mwenye kumiliki baiskeli!.Hivyo kwa muktadha huo, jee top ten wanawake matajiri waTanzania ni kina nani?!.
  1. Mercy Mengi-50% owner wa IPP Group of companies.
  2. Sabira Dewji-Binti wa Bilionea Gulam Dewji, mdogo wake Mo-Dewji.
  3. Dr. Getrude Rwakatare-Huyu ni mmiliki wa shule za St. Marys International Schools. Anamiliki prime lands karibu kila mkoa Tanzania. Source ya utajiri wake ni akili ya kutafuta ufadhili, akianzia na ujenzi wa kituo cha yatima Tabata.
  4. Rahma Al Kharoos, rais wa RBP OIL & INDUSTRIAL TECHNOLOGY (T) LIMITED.
  5. endelea.....
Tuwapongeze wanawake hawa kwa utajiri wao ambao pia unachangia kwa ustawi na maendeleo ya taifa!.Pasco.
Leo ndio siku ya Wanawake Duniani, enzi za JK tulikuwa na Mabilionea wanawake 5. Huyo number one ametangulia mbele ya haki, mabilioni yake yakahamia kwa binti yake Regina, na pia kukazaliwa bilionea mwingine Jackline.

Ila pia kipindi hiki cha JPM kumeibuka mabilionea kadhaa wanawake huku kwenye sekta binafsi

Kwa mwendo huu, jee Tanzania tutafikia hiyo 50/50 ya usawa wa kijinsia kwenye mabilionea wanawake kuwa sawa na wanaume?

Nawatakia wanawake wote, heri ya Siku ya Wanawake Duniani!.
P
 
Back
Top Bottom