Siku ya wapendanao ni ijumaa hii, vipi kishaeleweka?

Siku ya wapendanao ni ijumaa hii, vipi kishaeleweka?

Mshangazi dot com

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
1,345
Reaction score
3,503
Wiki yenye amsha amsha zake imeanza, vipi huko kwako mambo yanasomaje?
  1. Ushaagwa ana safari ya kikazi wiki hii?
  2. Ushaanza kutengenezewa mazingira ya minuno na kuambiwa “usinipigie, I need some space”
  3. Yupo akupendaye na una uhakika wa kupata kizawadi au muamala.
  4. Bado hakijaeleweka, tutajaribu tena 2026.
  5. Hainihusu niko single 😎
  6. Hatutambui Valentines day, sikukuu zinazofuata ni Eid na pasaka.

IMG_1405.png
 
Wiki yenye amsha amsha zake imeanza, vipi huko kwako mambo yanasomaje?
  1. Ushaagwa ana safari ya kikazi wiki hii?
  2. Ushaanza kutengenezewa mazingira ya minuno na kuambiwa “usinipigie, I need some space”
  3. Yupo akupendaye na una uhakika wa kupata kizawadi au muamala.
  4. Bado hakijaeleweka, tutajaribu tena 2026.
  5. Hatutambui Valentines day, sikukuu zinazofuata ni Eid na pasaka.

View attachment 3231635
Jitengenezee Valentine yako iwe kila siku na 14 Februari iwe ni siku ya kupembua na kuchanganua tu umefikia wapi.
 
Wa Africa tunapenda sana kufuata mkumbo.

Asilimia 90 hasa wanawake ya wanaoshadadia Valentine's day, ukiwauliza chimbuko lake hata hawajui, wengi hata kuitamka hawajui; utasikia 'valentina'.

Na wengi kwa tamaa zao za kupewa zawadi wameweka malengo kuwa Valentine's wapewe zawadi kubwa, wakati in reality valentine's day ni siku ya kuonyesha upendo kwa mwenza kwa vitu vidogo lakini vinavyomaanishwa.

Sasa Mwajuma ndala ndefu anataka siku ya 'valentina' umtoe out date ukamnyweshe, mizawadi ya gharama nk. Ukimpa maua na chocolate ananuna.

Tubaki na sherehe zetu tu za kufurahia mavuno na masika, hayo ndio ya asili yetu🤣🤣🤣.
 
Nimetoa laini yangu ya halotel maana ina makoloni ya kutosha na yote yanahitaji uwepo wangu hio siku natumia voda sahivi


Kweli uzinzi una gharama naogopa hata kukaa kwangu nalala kwa washkaji na lodge maana naogopa naweza ibukiwa na kusababisha migongano ukilinganisha nilikuwa nawaleta kwa umakini mkubwa bila kujuana



I hate Valentine gaddem shit
 
Wiki yenye amsha amsha zake imeanza, vipi huko kwako mambo yanasomaje?
  1. Ushaagwa ana safari ya kikazi wiki hii?
  2. Ushaanza kutengenezewa mazingira ya minuno na kuambiwa “usinipigie, I need some space”
  3. Yupo akupendaye na una uhakika wa kupata kizawadi au muamala.
  4. Bado hakijaeleweka, tutajaribu tena 2026.
  5. Hatutambui Valentines day, sikukuu zinazofuata ni Eid na pasaka.

View attachment 3231635
Hakuna kitu mapenzi ni uzushi
 
Kasome Hesabu 9:11 alafu uje utuambie tena
Hesabu 9:11 mwezi wa pili, siku ya kumi na nne ya mwezi, wakati wa jioni, wataishika; watamla pamoja na mikate isiyotiwa chachu na mboga za uchungu;
 
Kipindi cha ujana wangu hiyo siku kuna namna tulikua tunafurahia ila siku hizi mambo yamebadilika vijana mnapeana Hela, nguo, maua na vacation
Zamani ilikuwa ni mwendo wa kufungiana ndani na kunjunjana tu. Maana hakuna upendo wa dhati baina ya wapendanao zaidi ya mizagamuano.

Siku hizi hupewi kipochi manyoya mpaka utume muamala wa valentines day.
 
Back
Top Bottom