Uzinzi ndio upendo wenyewe huoYaani mwaka mzima unaisubiria siku moja muinyeshane upendo?
Hata maana ya siku hiyo imegeuzwa kuwa ya uzinzi wakati sio lengo la siku hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzinzi ndio upendo wenyewe huoYaani mwaka mzima unaisubiria siku moja muinyeshane upendo?
Hata maana ya siku hiyo imegeuzwa kuwa ya uzinzi wakati sio lengo la siku hiyo.
Mbususu for saleZamani ilikuwa ni mwendo wa kufungiana ndani na kunjunjana tu. Maana hakuna upendo wa dhati baina ya wapendanao zaidi ya mizagamuano.
Siku hizi hupewi kipochi manyoya mpaka utume muamala wa valentines day.
Kipindi cha ujana wangu hiyo siku kuna namna tulikua tunafurahia ila siku hizi mambo yamebadilika vijana mnapeana Hela, nguo, maua na vacation
Emperor Claudius II executed two men — both named Valentine — on Feb. 14 of different years in the third century. Their martyrdom was honored by the Catholic Church with the celebration of St. Valentine's DayWiki yenye amsha amsha zake imeanza, vipi huko kwako mambo yanasomaje?
- Ushaagwa ana safari ya kikazi wiki hii?
- Ushaanza kutengenezewa mazingira ya minuno na kuambiwa “usinipigie, I need some space”
- Yupo akupendaye na una uhakika wa kupata kizawadi au muamala.
- Bado hakijaeleweka, tutajaribu tena 2026.
- Hainihusu niko single 😎
- Hatutambui Valentines day, sikukuu zinazofuata ni Eid na pasaka.
View attachment 3231635
Au sio mkuu! Haina neno, iko njema sana pande hii.Haikuwa siri mkuu, hii ni G for G.
Mzima lkn?
Nakupenda 😘Valentine hii nàtaka nikutumie bakuli la urojo. Happy valentine in advance.
Muhimu sana 🤣🤣Zamani ilikuwa ni mwendo wa kufungiana ndani na kunjunjana tu. Maana hakuna upendo wa dhati baina ya wapendanao zaidi ya mizagamuano.
Siku hizi hupewi kipochi manyoya mpaka utume muamala wa valentines day.
Mie sina msemo mai lavu,Kwani mai lavu makaveli10 anassemaje?
Amina aiseeNawapa pole sana watu ambao upendo kwao ni hadi valentine day, upendo wa kila namna.
Kuishi upendo ni kila siku wakuu na sio siku fulani.
Sio powaIlikuwa Ni Kukazana Vibaya Mnoo
Siku hizi hamna mapenzi Kuna transactionZamani ilikuwa ni mwendo wa kufungiana ndani na kunjunjana tu. Maana hakuna upendo wa dhati baina ya wapendanao zaidi ya mizagamuano.
Siku hizi hupewi kipochi manyoya mpaka utume muamala wa valentines day.