GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sina shida na Identify ya Max Mpia Zengeli ya Kuchomekea Jezi yake na kwa wana Yanga SC kuambiwa na Msemaji wao Ali Kamwe kuwa Wote Kesho Jumamosi ni Zengeli Day hivyo watalazimika Kuchomekea kama Yeye.
Mashaka yangu makubwa GENTAMYCINE ni pale tu kukiwa na Siku za Lomalisa na Pakome na Msemaji wao Ali Kamwe akawataka wana Yanga SC kuwaiga hasa kwa Identities zao.
Identity ya Lomalisa no Kuvaa Hereni Masikio yake yote Mawili huku akijilambalamba Mdomo wake.
Identity ya Pakome ni kuweka Blichi Nywele zake, akirembua Macho yake na akitembea kwa Kujibinua kwa nyuma ( Maulid Kitenge Style )
Watu ( Watoto wa Pwani ) akina GENTAMYCINE tunasubiri kwa hamu sana hizo Siku za akina Lomalisa na Pakome ili 'tukajiokotee' Wanaume wavaa Hereni, Wajilamba Midomo, Wapaka Blichi, Warembuaji Macho na Wajibinuaji wakiwa Wanatembea ili wasaidiane Majukumu na Wake zetu / Wapenzi Wetu.
Mashaka yangu makubwa GENTAMYCINE ni pale tu kukiwa na Siku za Lomalisa na Pakome na Msemaji wao Ali Kamwe akawataka wana Yanga SC kuwaiga hasa kwa Identities zao.
Identity ya Lomalisa no Kuvaa Hereni Masikio yake yote Mawili huku akijilambalamba Mdomo wake.
Identity ya Pakome ni kuweka Blichi Nywele zake, akirembua Macho yake na akitembea kwa Kujibinua kwa nyuma ( Maulid Kitenge Style )
Watu ( Watoto wa Pwani ) akina GENTAMYCINE tunasubiri kwa hamu sana hizo Siku za akina Lomalisa na Pakome ili 'tukajiokotee' Wanaume wavaa Hereni, Wajilamba Midomo, Wapaka Blichi, Warembuaji Macho na Wajibinuaji wakiwa Wanatembea ili wasaidiane Majukumu na Wake zetu / Wapenzi Wetu.