mlima wa mizeituni
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,387
- 2,444
Nilisalimia kila gari nililopishana nalo kwa ku'flash[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kama haitoshi nilifuta kioo kwa wipers kila muda for no reason..
Pamoja na hayo yote huwa napenda sana wipers zinavyofanya kazi, naweza kuziwasha for 5 seconds then nikazima hata kama hakuna ulazima wa kufanya hivyo!!
Kama haitoshi nilifuta kioo kwa wipers kila muda for no reason..
Pamoja na hayo yote huwa napenda sana wipers zinavyofanya kazi, naweza kuziwasha for 5 seconds then nikazima hata kama hakuna ulazima wa kufanya hivyo!!