mlima wa mizeituni
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,387
- 2,444
Wewe mwamba usinikumbushe nampeleka mwanangu should abbey nipo na mgongo wa chura Wangu mamba A..Nilikua natoka Dar kwenda Mtwara, nikiwa na toyota voltz-mannual gia (na kila siku nawaambia naiuza hamtaki😒
😒) nilienjoi sana nilivokua naomba njia kwa kutumia indiketa halafu naruhusiwa, mwingine ananiambia subir then ananiruhusu asee nilikua napata furaha sana, mwingne ananiwashia taa kuniambia punguza mwendo trafiki mbele, na mwingne ananiuliza namjibu hahaha aiseee nilikua najiona ndio baaasi tena maisha nimeshayamaliza hapo sihitaji kingine.... ilikua Novemba 2014!
Ukijua ili iweje?
Ila passo ikiwa na vichwa vinne inatembea freshIlikuwa ni Dar mwanza na passo pasua 990cc ndo nlinunua nliifats kwa mshkaji mwaka 2016. Nliondoka dar saa moja asubuhi nikala vichwa vyangu mbezi pale vya moro nlivofika moro pale nikala vya singida jioni mida ya saa 11 nlikuwa singida nikala vya mwanza and saa 5:59 nlikuwa mwanza.
Nimeenda kulala hivi nasikia gari inaunguruma kichwani nlikuja kulala saa tisa usiku.
Jamaa aloniuzia gari alijua sijawahiendesha highway hivo alijua lazima tu either nitaangusha gari ama kugonga au kugongana. Nlifika salama nikamjulisha alikuwa hajalala ananifuatilia, uzuri kila nikiingia mkoa flan namjulisha.
Amaizing... siku moja nitamiliki mgongo wa Chura na 109/110 kwaajili ya adventure kama hizo, BIg up sana Mkuu!Wewe mwamba usinikumbushe nampeleka mwanangu should abbey nipo na mgongo wa chura Wangu mamba A..
Trafiki wote njiani wananiuliza umetoka lini dar?!!
Sikupigwa bao hata moja
Hivi mzee holili si ipo Kilimanjaro au hata ukiwa Tanga unakua unaiona? Au ulimaanisha Horohoro...?Hiyo natoka Dar naelekea Horiri Tanga na kaduet kangu kapya kufika Msata nikapigwa mkono na trafiki nimsaidie boss wao anaelekea Tanga kikazi, daah nilikuwa natembea siangalii vibao vya spidi wala nini na sijasimamishwa mpaka naingia Tanga mjini
Horohoro mkuu huwa naichanganya sana na ya Kilimanjaro sbb zote ziko mpakaniHivi mzee holili si ipo Kilimanjaro au hata ukiwa Tanga unakua unaiona? Au ulimaanisha Horohoro...?
Kanakuwaga ma balance usipime afu speed ndo kanakubali hatarIla passo ikiwa na vichwa vinne inatembea fresh
Tail hazigongi body la gariKanakuwaga ma balance usipime afu speed ndo kanakubali hatar
Hapana mkuu passo ipo stable sana kwa roadTail hazigongi body la gari
Do, mimi inategemeana na gari mfano 1000 and below cc huwa 100 kwa 120 had 140km/h kwenye mteremko, 1500 kuja hadi 2000, 120 to 160km/h, sijawahi endesha umbali mrefu gari kubwa zaidi ya 2000cc ila najua nitaenda hadi 180km/hMimi huwa sithubutu kuendesha gari zaidi ya speed ya 50Km/h kwa hiyo huwa siwezi kuendesha gari highway.
Nilikuwa natetemeka balaa!Wadau uzi wa ku share experience yako kwa mara ya kwanza ku drive high ilikuwaje.
Kwangu binafsi ilikuwa shida sana katika ku overtake yaani nilikuwa naogopa sana ila nilikuwa nikukuta road iko open nilikuwa speed sanaa 80Km/h nakumbuka nilikuwa na drive Mazda.