Requal
JF-Expert Member
- Jun 5, 2020
- 1,025
- 1,917
Nimeikumbuka leo nimebaki nacheka tu.
Ni siku ambayo haikuwa rahisi kabisa kwangu ilikuwa ngumu mno, ILINICHUKUA ZAIDI YA MIAKA MIWILI NIKIWA NA WAZO TU LA KWENDA KUPIMA NA SIKUWAHI KWENDA, lakini mambo yakawa mabaya zaidi nilipopata GF mpya aliyetaka tupime kwanza kabla ya kula tunda, nilitumia zaidi ya siku mbili naenda mwenyewe hospitali halafu nakimbia😀 na papuchi inasubiri tupime ndio ichakatwe.
Hapa nilitaka nihakikishe kwanza mwenyewe afya yangu, kabla sijamuita sijamuita huyu GF mpya tukapime wote
Mawazo ya Ma - ex wangu wanaojaza zaidi ya YOUTONG 8 na wengi nilikuwa sivai kinga yakaanza kujaa kichwani mwangu (mimi sio muumini wa condom mpaka sasa), bado wale wa kununua , nikawa naenda hosipitali nakaa kwenye foleni nakuwa busy kuongea na simu za uongo ikifika zamu yangu naona isiwe tabu najidai natoka nje kuongea na simu hapo ndio mazima.
Kipindi hiki mtoto mzuri anangoja simu yangu tu tukapime anipe papuchi, mimi nikawa namplease kwamba niko busy, kumbe nahangaika mahospitalini😀.. Siku moja nikajitoa mhanga nikapima japo nilikuwa natetema mpaka dktr aliyenipima akajua, sikuwa na utulivu wa akili kabisa.. Majibu yalipotoka sikuamini japo yalinipunguzia presha, nikaenda hospitali nyingine nikapima yakatoka kama ya mwanzo nikafurahi sana huku najisemea MOYONI, UKIMWI haupo hahaha ....nikachukua simu yangu kwa furaha kabisa nikamuita Nancy aliyekuwa ananingoja siku kadhaa tukapime ili anipe utamu.. tukaenda tukipma wote halafu tukagegedana kavukavu. Hii siku nilikuwa na furaha sana yaani nilikuwa mtu wa tofauti kabisa.
Ahsante sana Ex wangu Nancy ulibadili mfumo wangu mzima wa maisha ya kuchakata papuchi bila kupima😀
Tangu siku hiyo kabla sijagegeda lazima tupime hata iwe usiku nilikuwa natafuta hospitali za private natoa pesa tunapima, baadae nikawa na namba za madaktari kabisa ikitokea nawavutia waya tu napata huduma.
Kwa sasa serikali imeturahihishia tunatembea na HIV test tu.
wewe kwako ilikuaje?
N:B
UKIMWI UPO NA UNAUA, JIKINGE
Ni siku ambayo haikuwa rahisi kabisa kwangu ilikuwa ngumu mno, ILINICHUKUA ZAIDI YA MIAKA MIWILI NIKIWA NA WAZO TU LA KWENDA KUPIMA NA SIKUWAHI KWENDA, lakini mambo yakawa mabaya zaidi nilipopata GF mpya aliyetaka tupime kwanza kabla ya kula tunda, nilitumia zaidi ya siku mbili naenda mwenyewe hospitali halafu nakimbia😀 na papuchi inasubiri tupime ndio ichakatwe.
Hapa nilitaka nihakikishe kwanza mwenyewe afya yangu, kabla sijamuita sijamuita huyu GF mpya tukapime wote
Mawazo ya Ma - ex wangu wanaojaza zaidi ya YOUTONG 8 na wengi nilikuwa sivai kinga yakaanza kujaa kichwani mwangu (mimi sio muumini wa condom mpaka sasa), bado wale wa kununua , nikawa naenda hosipitali nakaa kwenye foleni nakuwa busy kuongea na simu za uongo ikifika zamu yangu naona isiwe tabu najidai natoka nje kuongea na simu hapo ndio mazima.
Kipindi hiki mtoto mzuri anangoja simu yangu tu tukapime anipe papuchi, mimi nikawa namplease kwamba niko busy, kumbe nahangaika mahospitalini😀.. Siku moja nikajitoa mhanga nikapima japo nilikuwa natetema mpaka dktr aliyenipima akajua, sikuwa na utulivu wa akili kabisa.. Majibu yalipotoka sikuamini japo yalinipunguzia presha, nikaenda hospitali nyingine nikapima yakatoka kama ya mwanzo nikafurahi sana huku najisemea MOYONI, UKIMWI haupo hahaha ....nikachukua simu yangu kwa furaha kabisa nikamuita Nancy aliyekuwa ananingoja siku kadhaa tukapime ili anipe utamu.. tukaenda tukipma wote halafu tukagegedana kavukavu. Hii siku nilikuwa na furaha sana yaani nilikuwa mtu wa tofauti kabisa.
Ahsante sana Ex wangu Nancy ulibadili mfumo wangu mzima wa maisha ya kuchakata papuchi bila kupima😀
Tangu siku hiyo kabla sijagegeda lazima tupime hata iwe usiku nilikuwa natafuta hospitali za private natoa pesa tunapima, baadae nikawa na namba za madaktari kabisa ikitokea nawavutia waya tu napata huduma.
Kwa sasa serikali imeturahihishia tunatembea na HIV test tu.
wewe kwako ilikuaje?
N:B
UKIMWI UPO NA UNAUA, JIKINGE