Unajua, vitu vingine vinachekesha sana.Vinachekesha kwa sababu hii inaonyesha kwamba kabisa hatuna 'diagnostic minds.' Katika hali isiyo ya kawaida kabisa,hawa watu ambao ndio wanaopanga njama za kutuangamiza,wanatung'ong'a kwa kutuletea ujinga huu usiozungumzika.Eti siku ya umaskini duniani,kisukari nk.World Bank,IMF,UN na 'affiliates' zao' ndio wanaohusika na kupanga mikakati yote ya kuangamiza nchi zetu. Leo tuna shangilia kufanywa kuwa maskini, inatisha sana.'Evidence' ya haya ninayo ongea yako kila mahali,isipokuwa hatutaki kuona,kusikia wala kujua.Tutatapotaka kuona na kujua 'it will to late,'hapatakuwa na 'escape root.'We should stop this non-sense.'Tuache kushangilia matatizo yetu, na badala yake kama tuko 'serious', tutengeneze mikakati mizuri na ya kweli ya kuyatatua.Mawazo kwamba tusipoadhimisha siku hizo tutasahau matatizo hayo, hayana msingi wowote,'it's mere brainwashing.'