Siku Zari akipeleka kesi ya matunzo ya watoto wawili mahakamani,M10 kwa mwezi,utakuwa mwanzo wa Diamond kufilisika!

Hahahahah hiii thread inachekesha sana, watanzania jamani
 
Tatizo lingine ni kukosa shule ya maana.Diamond na wenzake wangewekeza pesa kwenye shule au kuajiri watu wenye fani sahihi,kama meneja ni Babu Tale na mkubwa Fela watamuongoza katika nini zaidi ya kumpeleka kwa Bibi nyau na kubeba tunguli.Super star anayeweka jiwe kwenye suruali ili aonekane na kiungo kikubwa cha uzazi huyo naye ni super star?
 
Mawazo ya kimaskini kabisa haya!!!! Kwanini ufikirie itakuwa ndo mwanzo wa kufilisika kwa Diamond na usifikirie itakuwa ndo mwanzo wa matunzo bora kwa watoto kwa sababu pesa nyingi itakuwa inatoka?!

Yaani watu mnafikiria mabaya tu? Haya mambo mengine ndo maana unakuta mtu anazidi kupata tu manake Mungu anaona mishetani imemzunguka kijana na hivyo Mungu anachukua wajibu wa kumlinda yeye mwenyewe ili kudhibiti roho za kishetani!!!
 
Kuhusu hilo la watoto huwezi mpangia diamond cha kulipa cha zaidi anaweza akaamua kuuza ile nyumba ya South afu zari arudi kwenye nyumba ya ivan..
Hilo la Diamond kuuza nyumba, hata kama kwa geresha naliona sana!!!!

Unajua Diamond ana connection nyingi sana! Anaweza kuingiza nyumba sokoni akainunua mtu wake na ikaishia kuandikwa jina la Bi. Sandra kabla ya kufanya transfer of ownership hapo baadae!!!
 
Bibi Nyau,nasikia waganga wa majini wanakesha madale kila mwezi,ubani unanuka mtaa mzima,nadhani dogo atakuwa anayajua makaburi yote ya Dar
 
Safi saana kwa jibu hili na huyu mtoa mada anawakilisha watanzania wengi wanaosapoti matajiri kushushwa kuishi kishetani wakat hawapati faida yeyote.
 
Hivi diamond ni Nan namsikia sana akiongelewa ila sijui ni Nan au naye mbunge
 
Trust me 80 % of Tanzanians are witches and sorcerers driven by their own poverty striken life and envy to prosperity / successes of others
 
Ila hawajakaa miaka miwili ujue we mtoa mada. Mtu alijifungia akakaa sijuo mwezi, siku nyingine ni kuja kwa ndege few days nakurudi.
Ila Naseeb kiboko kasema SIJAOA
 
[emoji15] [emoji15] povu
 
Mkuu ulienda kumkagua kama kaweka jiwe?ulibak salama kweli?
 
Habari za Kufikirika hizi,
Mahakama gani itakayoridhia Matumizi ya watoto kwa mwezi kua Tshs 10mil??
 
Sisi maskin tuna roho mbaya sana....yaan 2nataman alefanikiwa afilisike na awe maskin ama hata zaid kiliko sisi....kwa akiki na fikra hizo, kamwe huez tajirika ama fanikiwa....
Na maskin uchwara wengi mtaan huko hujiita ma papaaaaa.....sa sijui upapaa gan maskin kama ndo m2 ana fikra za kimaskin hivi....!
 
mi naboreka sana kwa jinsi watanzania wanavotumia nguvu nyingi kumpoteza diamond, sijui kawakosea nini wabongo aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…