papaa musofe
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 842
- 1,475
- Thread starter
- #21
Ulitaka wakae kila siku bila kutoka chumbani?Kwanza acha roho mbaya yakumwombea mwenzio mabaya.
Pili presumptio of marriage inatakiwa waishi pamoja. South na tz ni wap na wap? Wapo chini ya dari moja?
Jiandaeni kupambana na the best lawyers in town,lazima mtu wenu aporomoke kama.mdomo wake